Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,278
- 8,868
- Thread starter
- #61
Heshima kwako mkuu Zitto. Kuna taarifa kwamba pamoja na kususia posho pamoja msamaha WA kodi lakini kuna udhibitisho kwamba umevuna fedha nyingi zaidi ya hizo posho kutoka NSSF,IPTL,BUZWAGI na baadhi ya mashirika mengine ya umma jambo ambalo umeshindwa kukanusha mpaka Leo.
Katika hoja ambazo hawezi kukujibu ni hizo mkuu,Mara nyingi huwa humtonyesha kidonda maana ni ukweli mtupu alikula pesa hizo.