Niliwahi kuwa Mozambique kule kuna watu walishangaa nilipowaambia kuwa nchi yao tunaiita Msumbiji japo kuna wamakonde wa Msumbiji wale wa mpakani na Tanzania wanalijua jina hili ila majority hawalijui wao wanajua Mozambique.
Sasa hili jina Msumbiji lilitoka wapi?
Misri - Egypty
Marekani - USA
yalitoka wapi?
Niliwahi kuwa Mozambique kule kuna watu walishangaa nilipowaambia kuwa nchi yao tunaiita Msumbiji japo kuna wamakonde wa Msumbiji wale wa mpakani na Tanzania wanalijua jina hili ila majority hawalijui wao wanajua Mozambique.
Sasa hili jina Msumbiji lilitoka wapi?
Misri - Egypty
Marekani - USA
yalitoka wapi?
Mbona haya mambo mengine yanaturudisha chekechea wakati tunafanya PHD?
unajuwa kwamba wafaransa nchi yetu wanaiita TANZANIE?
Labda bora Ungeuliza kwa nini England na UK zote ni Uingereza ningeona mantiki yako.
Misr, masr kiarabu
Ka keli mi chijui ka nini machambiki, wanaita nchumbiji, tena nakuomba chana uchicheke, uchimumunye wala uchichogee, ni nchale tuu!.
Ama kweli uwezo wa watanzania kufikiri uko chini mno mno! Hujui kila lugha ina maneno yake? Ungeuliza basi na kwanini oil inaitwa mafuta au mountain unaitwa mlima au a human anaitwa mtu! Huu ni upuuzi uliopindukia!
Ama kweli uwezo wa watanzania kufikiri uko chini mno mno! Hujui kila lugha ina maneno yake? Ungeuliza basi na kwanini oil inaitwa mafuta au mountain unaitwa mlima au a human anaitwa mtu! Huu ni upuuzi uliopindukia!
Jina la Msumbiji limetokana na Kisiwa cha Msumbiji iliyokuwa Boma na Makao makuu ya Ureno!
Msumbiji - Wikipedia, kamusi elezo huru