MWENDAKULIMA
JF-Expert Member
- Jul 17, 2009
- 951
- 358
Mi nafikiri Bakita waliamua tu kuiita Msumbiji maana kila lugha ina namna yake ya kutamka nchi. Hao waMozambique wanaiita Germany, ALLEMAGNE!
ni ALEMANHA mkuu, wafaransa ndiyo huita ALEMAGNE
Mi nafikiri Bakita waliamua tu kuiita Msumbiji maana kila lugha ina namna yake ya kutamka nchi. Hao waMozambique wanaiita Germany, ALLEMAGNE!
Ongeza:
Portugal = Ureno
Congo = Zaire
Britain = Uingereza
Netherlands = Uholanzi
Young african = YANGA
Sunderland = SIMBA
Mzizima = DAR-ES-SALAAM
Idodomya = DODOMA
Buba = UKIMWI
Sandarusi ni nini?
na kwanini hiyo Portugal tunaiita ureno?
Niliwahi kuwa Mozambique kule kuna watu walishangaa nilipowaambia kuwa nchi yao tunaiita Msumbiji japo kuna wamakonde wa Msumbiji wale wa mpakani na Tanzania wanalijua jina hili ila majority hawalijui wao wanajua Mozambique.
Sasa hili jina Msumbiji lilitoka wapi?
Misri - Egypty
Marekani - USA
yalitoka wapi?
hapo USA ni rahisiNiliwahi kuwa Mozambique kule kuna watu walishangaa nilipowaambia kuwa nchi yao tunaiita Msumbiji japo kuna wamakonde wa Msumbiji wale wa mpakani na Tanzania wanalijua jina hili ila majority hawalijui wao wanajua Mozambique.
Sasa hili jina Msumbiji lilitoka wapi?
Misri - Egypty
Marekani - USA
yalitoka wapi?
Ama kweli uwezo wa watanzania kufikiri uko chini mno mno! Hujui kila lugha ina maneno yake? Ungeuliza basi na kwanini oil inaitwa mafuta au mountain unaitwa mlima au a human anaitwa mtu! Huu ni upuuzi uliopindukia!
Kamaa unaona kero kuiita Msumbiji basi iite Msambinungwa!
Misri inatokana na jina lake halisi kwa kiarabu inaitwa MASR.
Msumbiji inatokana na wabantu kushindwa pronounciation ya neno mozambique wakarahisisha Mouzambij(kunja mdomo kama unataka kupiga mluzi) badae Msumbiji.
Nedherland ndio holland sisi tunaita Uholanzi kwaajili ya ile Holand.
Haya ni maoni yako.
Ni kweli
sandarusi ni nini?
nimecheka kweli! eti hayo ni moani yako na unamjibu ni kweli!
AONGEZEOngeza:
Portugal = Ureno
Congo = Zaire
Britain = Uingereza
Netherlands = Uholanzi