Kwanini Mozambique tunaiita Msumbiji?

Kwanini Mozambique tunaiita Msumbiji?

Niliwahi kuwa Mozambique kule kuna watu walishangaa nilipowaambia kuwa nchi yao tunaiita Msumbiji japo kuna wamakonde wa Msumbiji wale wa mpakani na Tanzania wanalijua jina hili ila majority hawalijui wao wanajua Mozambique.

Sasa hili jina Msumbiji lilitoka wapi?

Misri - Egypty

Marekani - USA

yalitoka wapi?

Moja ya tabia ya lugha ni dhana iitwayo "arbitrariness" ambayo humaanisha hakuna mahusiano ya moja kwa moja kati ya neno/jina na kitu ambacho kinawakilishwa na jina/neno hilo.

Kwenye Wikipedia wanasema arbitrariness "is the quality of being determined by chance,
whim, or impulse, and not by necessity, reason, or
principle".

Ingawa yapo maneno mengine ambayo yalitokea kulingana na sauti/mlio zake/wake (onomatopoec words) kama vile "pikipiki", lakini hatuwezi sema kuwa huu unaitwa mti kwakuwa m- inawakilisha majani, t-inawakilisha gogo, i-inawakilisha mizizi, hakuna mahusiano ya moja kwa moja. HUWA INATOKEA TU.
 
Back
Top Bottom