Ukienda kuwauliza raia wa kawaida pale Marekani hii kitu "Bailout" hawaipendi na hawataki kuisikia , na ni kwasababu wanajua mwisho wa siku anayefaidika si raia wa kawaida ,ni sawa na kumkamua masikini ili kumfaidisha tajiri ,kitu ambacho si sustainable kwenye uchumi na kinazalisha mentality ya uzembe na kuua ubunifu ,maana huyo anayepewa Bailout kila siku atakuwa anatapanya resources ovyo ovyo na kuongoza biashara ovyo akijua kuna kodi za wananchi zitatumika kuja kuokoa biashara yake akikwama .
Mo aachwe afanye maamuzi anayoona yanafaa
Mo aachwe afanye maamuzi anayoona yanafaa