Kwanini mnyama nguruwe anapewa majina mengi?

Kwanini mnyama nguruwe anapewa majina mengi?

Kitu kitamu lazima kiwe na majina mengi mfano
Wanawake
Manzi
Demu
Nyapu
Mchumba
Mzigo
Mgombea mwenza
Mama
Mtoto
Kishtobe
Kijungu
Nuksi
Au pesa
Ngawira
Mnyasi
Mshiko
Etc
 
Nguruwe hata biblia imesema ni najisi. Nani anaependa kuitamka najisi kila wakati?

Hata mavi ni najisi, ni nani anaependa kuyatamka kila wakati?

Kinyaa.
 
Hii kitu ni noma
IMG-20191103-WA0038.jpeg
 
Habari wana JF! Naomba kuuliza kuhusu huyu mnyama.Kwanini huyu mnyama anapewa majina mengi mengi mara kitimoto, mara mbuzi katoliki, mara mdudu. Sasa mimi najiuliza nini hasa kimo ndani huyu kiumbe mpaka anafichwa fichwa watu kujua kama jana lake halisi lilivyo NGURUWE. Mbona mbuzi, kondo, ng’ombe hawapewi majina tofauti tofauti kama huyu kiumbe nini hasa kipo kweny mnyama huyu. Halafu nimesikia nguruwe jike anaenda hedhi kama binadamu mwanamke hivi kisayansi imekaaje hii kuweza kumtumia kama chakula?
Huyo ni mnyama mkorofi sana,pia nasikia mfupa wake unafukuza majini,
 
Kitu chochote chenye kuhitajika kwa sana katika maisha yetu ya kila siku daima kina maji mengi. Rejea pesa,hela,noti,ndururu,n.k n.k
...faranga, chapaa, njuru, mshiko, mtonyo, mchuzi, mkwanja,.....nk
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom