Kwanini mnyama nguruwe anapewa majina mengi?

Kwanini mnyama nguruwe anapewa majina mengi?

Nini kinatokea, au inazawaliwa minyoo maana inasemekana ina minyoo yakutosha ile nyama. Halafu inasemakana ngururuwe anakula mpaka mtoto mchanga akikaa vibay
Kama unataka kujua UHARAMU wa ngurue chukua nyama ya ngurue mbichi ingiza kwenye kibakuli thn ichanganye na pure Coca-Cola alaf iache, baada ya saa 1 utakachokikuta humo ndani kitakupelekea maisha yako usimle huyo ngurue kama kweli unajali afya yako
 
Kama unataka kujua UHARAMU wa ngurue chukua nyama ya ngurue mbichi ingiza kwenye kibakuli thn ichanganye na pure Coca-Cola alaf iache, baada ya saa 1 utakachokikuta humo ndani kitakupelekea maisha yako usimle huyo ngurue kama kweli unajali afya yako
Mkuu kinatokea nini kama ni vi fili fili au vunza ujue hiyo nyama inaoza haraka ikiwa mbichi labda kama kuna lingine
Maana kama ni uchafu tunakula sana mbolea ya binadamu kupitia kwa hawa Dada zetu wenye kucha ndefu
 
Kama unataka kujua UHARAMU wa ngurue chukua nyama ya ngurue mbichi ingiza kwenye kibakuli thn ichanganye na pure Coca-Cola alaf iache, baada ya saa 1 utakachokikuta humo ndani kitakupelekea maisha yako usimle huyo ngurue kama kweli unajali afya yako
Tumeshafanya hivyo sana, sema utamu wake huwa ndiyo unaongezeka balaa...
 
Chochote kibaya lazima kiwe na majina mengi
Rejea mwizi, uzinzi, na wengine ambao wanapewa majina mengi
 
Kama unataka kujua UHARAMU wa ngurue chukua nyama ya ngurue mbichi ingiza kwenye kibakuli thn ichanganye na pure Coca-Cola alaf iache, baada ya saa 1 utakachokikuta humo ndani kitakupelekea maisha yako usimle huyo ngurue kama kweli unajali afya yako
Huli nguruwe ila unakula Rushwa.Nguruwe haramu lakini unazini .Hivi vitu vingine n vituko kwa kweli....Huli Nguruwe na unataman wake za watu dhambi ni ile ile acha watu wagawane....
 
Chochote kibaya lazima kiwe na majina mengi
Rejea mwizi, uzinzi, na wengine ambao wanapewa majina mengi

A8215DB8-BB8C-4A28-A0B6-00FE3F33D1BF-2568-0000016C171EC17F.jpg


Kitu kama hiki kwanini kisiwe na majina mengi mengi, acheni utani..

Leo jioni tukutane matako bar, kmr korogwe, pale.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom