Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,737
Wengine tunamuita Noah, kutokana na mdomo wake umekaa Kama gari aina ya Noah..
Oya bajeti ya leo ni wali njegere jioni,usinivurugie ratiba mkuu.View attachment 1251882
Kitu kama hiki kwanini kisiwe na majina mengi mengi, acheni utani..
Leo jioni tukutane matako bar, kmr korogwe, pale.
Waislamu wameruhusiwa kula nguruwe wakiwa sehemu ambayo haina chakula chochote isipokuwa nguruwe!
View attachment 1251882
Kitu kama hiki kwanini kisiwe na majina mengi mengi, acheni utani..
Leo jioni tukutane matako bar, kmr korogwe, pale.
Waislamu wameruhusiwa kula nguruwe wakiwa sehemu ambayo haina chakula chochote isipokuwa nguruwe!
View attachment 1251882
Kitu kama hiki kwanini kisiwe na majina mengi mengi, acheni utani..
Leo jioni tukutane matako bar, kmr korogwe, pale.
Jangwani!Sehemu gani hiyo?
Maana hata mtini kuna matunda
Labda sayari nyingine
Una moyo
Ana majina mengi kama vitu anavyokula maana hujui hata akisikia njaa next meal yake itakuwa matope au mzoga au hata mguu wa mtu
Oya bajeti ya leo ni wali njegere jioni,usinivurugie ratiba mkuu.
Jangwani!
Kwahyo akila mzoga na wewe utakula mzoga alio kula???
We jamaa fala sana[emoji16][emoji16][emoji16]Mi silagi kitimoto
Sio sababu ya dini
Sio sababu ya matatizo ya kiafya
Sio sababu ya miiko
Ni kwasababu sina pesa tu
Umefanya ivo kwa nyama zingine pia,au ume mtarget nguruwe tu!Kama unataka kujua UHARAMU wa ngurue chukua nyama ya ngurue mbichi ingiza kwenye kibakuli thn ichanganye na pure Coca-Cola alaf iache, baada ya saa 1 utakachokikuta humo ndani kitakupelekea maisha yako usimle huyo ngurue kama kweli unajali afya yako
Viumbe wote? Hata nyoka, siafu na kuku?Kwenda hedhi viumbe wote hai wanaenda ila zinatofautiana.
ndio maana wanazaa/kutaga.Viumbe wote? Hata nyoka, siafu na kuku?