Kwanini mnyama nguruwe anapewa majina mengi?

Kwanini mnyama nguruwe anapewa majina mengi?

Wakulonga

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
762
Reaction score
771
Habari wana JF!

Naomba kuuliza kuhusu huyu mnyama.Kwanini huyu mnyama anapewa majina mengi mengi mara kitimoto, mara mbuzi katoliki, mara mdudu.

Sasa mimi najiuliza nini hasa kimo ndani huyu kiumbe mpaka anafichwa fichwa watu kujua kama jana lake halisi lilivyo nguruwe.

Mbona mbuzi, kondo, ng’ombe hawapewi majina tofauti tofauti kama huyu kiumbe nini hasa kipo kweny mnyama huyu.

Halafu nimesikia nguruwe jike anaenda hedhi kama binadamu mwanamke hivi kisayansi imekaaje hii kuweza kumtumia kama chakula?
 
kwa sababu waisilamu hamtakiwi kumla huyo labda achinjwe..... mkimla akiwa hajachinjwa na kupikwa ni ukafiri na dhambi na mtachomwa moto siku ya kihama na malaika al-mauti hatawaacha salama. Lakini sisi wagumu makafiri wakuu tunakula kama kawaida ....
 
Habari wana JF! Naomba kuuliza kuhusu huyu mnyama.Kwanini huyu mnyama anapewa majina mengi mengi mara kitimoto, mara mbuzi katoliki, mara mdudu. Sasa mimi najiuliza nini hasa kimo ndani huyu kiumbe mpaka anafichwa fichwa watu kujua kama jana lake halisi lilivyo NGURUWE. Mbona mbuzi, kondo, ng’ombe hawapewi majina tofauti tofauti kama huyu kiumbe nini hasa kipo kweny mnyama huyu. Halafu nimesikia nguruwe jike anaenda hedhi kama binadamu mwanamke hivi kisayansi imekaaje hii kuweza kumtumia kama chakula?
 
Hivi Sungura,Ndezi ,Ngamia,Kambare nao wameruhusiwa kuliwa?
 
Habari wana JF! Naomba kuuliza kuhusu huyu mnyama.Kwanini huyu mnyama anapewa majina mengi mengi mara kitimoto, mara mbuzi katoliki, mara mdudu. Sasa mimi najiuliza nini hasa kimo ndani huyu kiumbe mpaka anafichwa fichwa watu kujua kama jana lake halisi lilivyo NGURUWE. Mbona mbuzi, kondo, ng’ombe hawapewi majina tofauti tofauti kama huyu kiumbe nini hasa kipo kweny mnyama huyu. Halafu nimesikia nguruwe jike anaenda hedhi kama binadamu mwanamke hivi kisayansi imekaaje hii kuweza kumtumia kama chakula?
huyo ndiyo kiumbe mtamuu ambaye Mungu amewahi kuumba
Huwa ANAADIMIKA SANA MWEZI WA RAMADAN sijui kwanini
Ila ukimjaribu hutokaa uache kumla
 
Kama unataka kujua UHARAMU wa ngurue chukua nyama ya ngurue mbichi ingiza kwenye kibakuli thn ichanganye na pure Coca-Cola alaf iache, baada ya saa 1 utakachokikuta humo ndani kitakupelekea maisha yako usimle huyo ngurue kama kweli unajali afya yako
 
Kitu chochote chenye kuhitajika kwa sana katika maisha yetu ya kila siku daima kina maji mengi. Rejea pesa,hela,noti,ndururu,n.k n.k
 
Habari wana JF!

Naomba kuuliza kuhusu huyu mnyama.Kwanini huyu mnyama anapewa majina mengi mengi mara kitimoto, mara mbuzi katoliki, mara mdudu.

Sasa mimi najiuliza nini hasa kimo ndani huyu kiumbe mpaka anafichwa fichwa watu kujua kama jana lake halisi lilivyo nguruwe.

Mbona mbuzi, kondo, ng’ombe hawapewi majina tofauti tofauti kama huyu kiumbe nini hasa kipo kweny mnyama huyu.

Halafu nimesikia nguruwe jike anaenda hedhi kama binadamu mwanamke hivi kisayansi imekaaje hii kuweza kumtumia kama chakula?
Kwa sababu ni mtamu sana, huwezi kumfananisha na mnyama yoyote kwa utamu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom