Nguruwe
KitiMoto
Noah
Mbuzi Katoliki
Meza Kubwa
Mdudu
Haramu kwako wewe na dini yako
Usiite alichokiumba MUNGU haramu
Una mamlaka hio eti kiumbe kinaita kiumbe kingine haramu
Haramu ni uchafu unaokutoka rohoni mwako ,kama vile chuki,uasherati,choyo,usengenyaji,ul vi,ulafi N.k
Shubamiiit
Siku ukijaribu mbuzi katoliki hutorudi Rivasi kwa utamu wake[emoji2]
Takbirrrrrrr
Check zote hizo. Ndio majina ya vitu vinavyotakiwa na kutafutwa kwa wingi na vitaaaam saaana...faranga, chapaa, njuru, mshiko, mtonyo, mchuzi, mkwanja,.....nk