Kwanini mnyama nguruwe anapewa majina mengi?

Kwanini mnyama nguruwe anapewa majina mengi?

Aise mbolea tena
Mkuu kinatokea nini kama ni vi fili fili au vunza ujue hiyo nyama inaoza haraka ikiwa mbichi labda kama kuna lingine
Maana kama ni uchafu tunakula sana mbolea ya binadamu kupitia kwa hawa Dada zetu wenye kucha ndefu
 
Hiyo sehemu nguruwe hula mavi yake na watoto wake wewe nenda ukaone au humjui nguruwe
kwani sisawa tuu na kuku anavyo kunywa mayai yake hata sungura nae hula watoto asipo pewa chakula nguruwe ni mtamu sana ukitaja nyama bora duniani basi ni ya nguruwee
 
Kwa sababu ni mnyama haramu kuliwa ndio maana anafichwa uhalisia wake
Haramu kwako wewe na dini yako

Usiite alichokiumba MUNGU haramu

Una mamlaka hio eti kiumbe kinaita kiumbe kingine haramu

Haramu ni uchafu unaokutoka rohoni mwako ,kama vile chuki,uasherati,choyo,usengenyaji,ul vi,ulafi N.k

Shubamiiit

Siku ukijaribu mbuzi katoliki hutorudi Rivasi kwa utamu wake[emoji2]

Takbirrrrrrr
 
kwani sisawa tuu na kuku anavyo kunywa mayai yake hata sungura nae hula watoto asipo pewa chakula nguruwe ni mtamu sana ukitaja nyama bora duniani basi ni ya nguruwee
Nipo namla hapa picha
 
Kama unataka kujua UHARAMU wa ngurue chukua nyama ya ngurue mbichi ingiza kwenye kibakuli thn ichanganye na pure Coca-Cola alaf iache, baada ya saa 1 utakachokikuta humo ndani kitakupelekea maisha yako usimle huyo ngurue kama kweli unajali afya yako
Sio sababu inafukuza majini?
 
Acha tuende motoni kama ni hivi
Screenshot_20191103-140109.jpeg
 
Kama unataka kujua UHARAMU wa ngurue chukua nyama ya ngurue mbichi ingiza kwenye kibakuli thn ichanganye na pure Coca-Cola alaf iache, baada ya saa 1 utakachokikuta humo ndani kitakupelekea maisha yako usimle huyo ngurue kama kweli unajali afya yako

Huwa tunakula ilo iva sio mbichi,tena iliyokaushwa vizuri,tena na iyo coca ndo vinaendana,acha kututisha.
 
Kama unataka kujua UHARAMU wa ngurue chukua nyama ya ngurue mbichi ingiza kwenye kibakuli thn ichanganye na pure Coca-Cola alaf iache, baada ya saa 1 utakachokikuta humo ndani kitakupelekea maisha yako usimle huyo ngurue kama kweli unajali afya yako
Sisi tunaemla tukashushia na coca cola huwa hatuwezi kufanya hiyo experiment mkuu,ni hasara
 
Kiboko ya Majini/Mapepo hio,ukimuona mtu hali hio kitu mcheki tu afu sema hiiiiiiiiiiiiiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom