Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,021
- 9,177
Kama lipo wazi mbona NEC hawajaitisha uchaguzi?
Hii tena elimu nyingine.
Kwani huko mashuleni mnasoma nini sikuhizi?
Kukusaidia tu:-
Sheria ya uchaguzininakataza kuitisha uchaguzi mpyaa ikiwa imebaki mwaka mmoja kabla ya uchaguzi.