Kwanini mnamkomalia Mwambe peke yake?

Kwanini mnamkomalia Mwambe peke yake?

Komu na selasini wameamua kutoka chadema kwenda Nccr na watahama rasmi baada ya kumaliza ubunge wao

Mwambe alisema amejiuzulu nafasi zake za chama na ubunge wake.. Ni kama alivyofanya Nyarandu au je nyarandu nae anatakiwa kurudi bungeni?
Spika sidhani Kama anatakiwa kuchukua hatua kwa kusikia bila Hatua ya muhusika kuandika barua au Chama chake kuandika barua.
Na hata Chama kikiandika barua Lazima kiambatanishe barua ya mbunge na kama mbunge hajaandika barua basi chama kiambatanishe muhutasari wa kikao kilichomvua uanachama kwamujibu wa taratibu.
Sasa kama spika hajataarifiwa kwa maandishi na ngaraka kamilifu kwa mujibu wa taratibu basi inabaki kuwa stori tu.
Labda wanaolalamika waseme taratibu zote zilifuatwa na spika akakiuka la sihivyo inakua tunalalamika kwa kuwa spika kafuta tartibu bila vionjo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika sidhani Kama anatakiwa kuchukua hatua kwa kusikia bila Hatua ya muhusika kuandika barua au Chama chake kuandika barua.
Na hata Chama kikiandika barua Lazima kiambatanishe barua ya mbunge na kama mbunge hajaandika barua basi chama kiambatanishe muhutasari wa kikao kilichomvua uanachama kwamujibu wa taratibu.
Sasa kama spika hajataarifiwa kwa maandishi na ngaraka kamilifu kwa mujibu wa taratibu basi inabaki kuwa stori tu.
Labda wanaolalamika waseme taratibu zote zilifuatwa na spika akakiuka la sihivyo inakua tunalalamika kwa kuwa spika kafuta tartibu bila vionjo

Sent using Jamii Forums mobile app
"Itabaki story sekenke"
 
Mwacheni amalizie muda wake maana zimebaki siku chache ili bunge livunjwe. Sio mbunge peke yake ambae alishatangaza kuondoka CHADEMA.

Yeye aliondoka sababu kuna ukiritimba na matumizi mabaya ya pesa za chama. Makatibu wa wilaya hawalipwi, wabunge wanalazimishwa kuchangia chama kama vile wanalipia pango la nyumba.

Kuna wabunge zaidi ya wanne wameshatangaza wamehama CHADEMA na watagombea kupitia Nccr Mageuzi mbona hamjataka Spika awatimue bungeni?

Cecil Mwambe alisema amehama CHADEMA na atagombea kupitia CCM kwenda Bungeni kumalizia hizi siku kumi na nane ili avute mpunga wake mnaleta wivu. Mbona nyie watu mna sumu mbaya sana.

Wabunge wenu wameonyesha picha mbaya sana. Wametoroka bungeni baada ya kuweka kibindoni perdiem.

Hivyo mwacheni Mwambe akalie vile viti ambavyo nyie mlivikimbia mkisema vina Corona. Maana alivyoondoka Mwambe ni sawa na Komu na Selasini walivyoondoka.
 
Selasini kajitoa kwenye group la whatsapp la CHADEMA means ana mpango wa kujitoa ila bado hajajitoa,maana kesi yake ipo kwenye mikono ya kamati kuu ya CHADEMA kama wamuanze wao kabla au wamuache ajitoe mwenyewe.kwa kesi ya Mwambe ni kwamba alitangaza mwenyewe kwamba ameshajitoa CDM na kujiunga CCM,hivyo kwa mujibu wa katiba siyo mbunge tena na jimbo la Ndanda lipo wazi,hapo siyo ishu ya CHADEMA tena ni ishu ya Tume ya uchaguzi
Spika anazo taarifa rasmi kama Mwambe alijiuzuru? Mbona uchaguzi haujafanyika?
 
Spika sidhani Kama anatakiwa kuchukua hatua kwa kusikia bila Hatua ya muhusika kuandika barua au Chama chake kuandika barua.
Na hata Chama kikiandika barua Lazima kiambatanishe barua ya mbunge na kama mbunge hajaandika barua basi chama kiambatanishe muhutasari wa kikao kilichomvua uanachama kwamujibu wa taratibu.
Sasa kama spika hajataarifiwa kwa maandishi na ngaraka kamilifu kwa mujibu wa taratibu basi inabaki kuwa stori tu.
Labda wanaolalamika waseme taratibu zote zilifuatwa na spika akakiuka la sihivyo inakua tunalalamika kwa kuwa spika kafuta tartibu bila vionjo

Sent using Jamii Forums mobile app

Kaka,
Mwambe ajavuliwa uwanachama kwanza elewa hapo,

Mwambe kajivua uanachama mwenyewe na karudisha kadi na kachukua kadi ya ccm

Kwa maana hiyo mbunge ambae amekufa ataendelea kulipwa mpaka chama kipeleke death certificate?

Au nyarandu anaweza kurudi bungeni?
 
Kwa hili la Mwambe ukiwa na akili timamu huwezi kulitetea....!. Labda ujitoe ufahamu........

Sent using Jamii Forums mobile app
....Yan muanzisha uzi kakaa were na kufikiria na kuja na hicho alichoandika. Anyway, binadamu tunatofautiana sana upeo na uelewa wa Mambo. Common sense is not always common
 
Kwa hili la Mwambe ukiwa na akili timamu huwezi kulitetea....!. Labda ujitoe ufahamu........

Sent using Jamii Forums mobile app
Au labda anaetetea awe Mwambe mwenyewe.

Bashiri ambaye ni KM-CCM alichukua ndege binafsi toka Dsm mpaka Mtwara ambako tena alikuwa na msafara mkubwa kwenda Ndanda kumkabidhi Mwambe kadi ya Chama.
Ccm wametumia gharama kubwa sana kumchukua Mwambe embu fikiria boda boda wa Mtwara zaidi ya 200 walijaziwa mafuta ya elfu 10 na posho buku 5 kwenda kumpokea Bashiru Airport, sio hivyo tu DG wa TIC ametumia hela za Serikali na rasilimali zingine kumrubuni ndg yake Cecil.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alihamia Ccm?
Ndio, amehamia CCM na kadi alipewa Nanyamba mbele ya Chikota na Ghasia.
Na yeye pia kuna tetesi anaweza kurudi bungeni ingawa suala la Mwambe limepewa uzito kwa sababu alikuwa mbunge wa Chadema. Sasa akina Lwakatare wakisimama tu wabunge wote wa CCM wanagonga meza kwa mbwembwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vi
Ndio, amehamia CCM na kadi alipewa Nanyamba mbele ya Chikota na Ghasia.
Na yeye pia kuna tetesi anaweza kurudi bungeni ingawa suala la Mwambe limepewa uzito kwa sababu alikuwa mbunge wa Chadema. Sasa akina Lwakatare wakisimama tu wabunge wote wa CCM wanagonga meza kwa mbwembwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama anarudi bungeni safi sana.Kwani spika ana taarifa rasmi?
 
Spika anazo taarifa rasmi kama Mwambe alijiuzuru? Mbona uchaguzi haujafanyika?
Kwa taarifa yako kuna majimbo kadhaa hayana wabunge.
1. Ndanda ambako mbunge alikoma kuwa mwanachama na hii ni automatic ubunge wake unakoma pia.
2. Tandahimba pia mbunge wake Khatani alijiondoa CUF na kujiunga CCM.
3. Newala Vijijini ambako mbunge wake amefariki na hakujafanyika uchaguzi pia, hivyo hoja yako ya kwa nini haiujafanyika uchaguzi ni ya kinadharia na kijinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wewe hujui kujiuzuru kunapaswa kukamilika kwa taratibu Gani?
Au ukisema tu bila kuandikia mamlaka husika unakua umejiuzuru?

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa ndio huelewi kabisa.

Mwambe karudisha kadi ya Chadema na kapewa kadi ya CCM yeye pamoja na mama yake mzazi kule Ndanda baada ya kuondoka Chadema.

Sasa Mwambe anaenda Bungeni kwa chama gani? Au ameteuliwa na Rais? Hivi ukiwa CCM zile akili za kuzaliwa huwa zinaenda wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika sidhani Kama anatakiwa kuchukua hatua kwa kusikia bila Hatua ya muhusika kuandika barua au Chama chake kuandika barua.
Na hata Chama kikiandika barua Lazima kiambatanishe barua ya mbunge na kama mbunge hajaandika barua basi chama kiambatanishe muhutasari wa kikao kilichomvua uanachama kwamujibu wa taratibu.
Sasa kama spika hajataarifiwa kwa maandishi na ngaraka kamilifu kwa mujibu wa taratibu basi inabaki kuwa stori tu.
Labda wanaolalamika waseme taratibu zote zilifuatwa na spika akakiuka la sihivyo inakua tunalalamika kwa kuwa spika kafuta tartibu bila vionjo

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama Mwambe anajijua ni mbunge kwa nini asubiri mpaka aitwe na Spika?
Wabunge wote si walienda Bungeni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom