Selasini kajitoa kwenye group la whatsapp la CHADEMA means ana mpango wa kujitoa ila bado hajajitoa,maana kesi yake ipo kwenye mikono ya kamati kuu ya CHADEMA kama wamuanze wao kabla au wamuache ajitoe mwenyewe.kwa kesi ya Mwambe ni kwamba alitangaza mwenyewe kwamba ameshajitoa CDM na kujiunga CCM,hivyo kwa mujibu wa katiba siyo mbunge tena na jimbo la Ndanda lipo wazi,hapo siyo ishu ya CHADEMA tena ni ishu ya Tume ya uchaguziTutamuuliza spika atupe majibu maana labda vyombo vya habari vilimnukuu vibaya. Ila yeye na akina Selasini bado ni wabunge. Ndio maana bado alikuwa analipwa kama kawaida.Kwa hiyo hakuna sehemu ambapo katiba imesiginwa.
Mwacheni amalizie muda wake maana zimebaki siku chache ili bunge livunjwe. Sio mbunge peke yake ambae alishatangaza kuondoka CHADEMA.
Yeye aliondoka sababu kuna ukiritimba na matumizi mabaya ya pesa za chama. Makatibu wa wilaya hawalipwi, wabunge wanalazimishwa kuchangia chama kama vile wanalipia pango la nyumba.
Kuna wabunge zaidi ya wanne wameshatangaza wamehama CHADEMA na watagombea kupitia Nccr Mageuzi mbona hamjataka Spika awatimue bungeni?
Cecil Mwambe alisema amehama CHADEMA na atagombea kupitia CCM kwenda Bungeni kumalizia hizi siku kumi na nane ili avute mpunga wake mnaleta wivu. Mbona nyie watu mna sumu mbaya sana.
Wabunge wenu wameonyesha picha mbaya sana. Wametoroka bungeni baada ya kuweka kibindoni perdiem.
Hivyo mwacheni Mwambe akalie vile viti ambavyo nyie mlivikimbia mkisema vina Corona. Maana alivyoondoka Mwambe ni sawa na Komu na Selasini walivyoondoka.
Kama lipo wazi mbona NEC hawajaitisha uchaguzi?Selasini kajitoa kwenye group la whatsapp la CHADEMA means ana mpango wa kujitoa ila bado hajajitoa,maana kesi yake ipo kwenye mikono ya kamati kuu ya CHADEMA kama wamuanze wao kabla au wamuache ajitoe mwenyewe.kwa kesi ya Mwambe ni kwamba alitangaza mwenyewe kwamba ameshajitoa CDM na kujiunga CCM,hivyo kwa mujibu wa katiba siyo mbunge tena na jimbo la Ndanda lipo wazi,hapo siyo ishu ya CHADEMA tena ni ishu ya Tume ya uchaguzi
Hawatagombea kupitia Cdm sababu imekosa dira na msimamo. Mtu anatoa kauli kama hiyo alafu unasema bado ni mwanachama wa Cdm?sijuhi unaishi wapi ndugu,
Maana haya yote yalishajibiwa, ila nitakusaidia tu:-
1. Mwambe alitangaza wmeneywe kuhama na kadi ya CCM akachukua Lumumba mbele ya polepole
2. hao wengine wametangaza hawtaagombea tena chadema na sio kuhama.
3. Mungozo wa WHO, unasema ukikutana na mgonjwa waCORONA unapaswa kujitenga kwa kukaa alone ili kama umeambukizwa basi usije kuambukiza wengine.
Kwani Mimi nikitangaza nia kukuingilia kimwili naweza hesabiwa tayari nimekuingilia? Mwambe ameshapewa kadi ya CCM na yule Katibu wenu mkuu, anaitwa nani vile? yule wanayesema ndio kamnanihii Mzee Mangula.Kwa hiyo Komu na Selasini bado wapo Chadema?
Kwani Komu na Selasini wanakaa kama wabunge wa Chama gani? Maana wameshatangaza kuhama na hawatagombe kupitia Chadema. Na yeye ndio hivyo hivyo. Majibu anayo spika, acheni amalizie ili avute posho.
Ndo uwaulize NEC sasaKama lipo wazi mbona NEC hawajaitisha uchaguzi?
Kukaa mbele ya press conference sio kuwa umerudisha kadi. Ni kutoa taarifa kwa Umma. Kwani wakati Edward Lowassa anakuja Cdm alirudisha ya Ccm? Akili zako lazima ziwe zinajiongeza mkuu.
Unaweza kunitukana unavyotaka. Ila waneshajitoa impliedly. Kama wangekuwa na ubavu wange wafukuza.Wewe hazimo kichwani. Akina Komu hawajajitoa chadema, walisema watajitoa muda ukiisha. Mwambe yeye alijivua kabisa uanachama akachukuwa na kadi ya ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajua maana ya notisi?wewe ukimuambia mwenye nyumba wako kwamba kodi ikiisha nitahama,atakuambia kuwa uhame leo leo?hao waliotangaza kuwa watahama na bado wapo ndio hawana msimamoHawatagombea kupitia Cdm sababu imekosa dira na msimamo. Mtu anatoa kauli kama hiyo alafu unasema bado ni mwanachama wa Cdm?
Mfano gani sasa huu? Kwenye vyama kuna kutoa notisi eti nitahama?Hivi unajua maana ya notisi?wewe ukimuambia mwenye nyumba wako kwamba kodi ikiisha nitahama,atakuambia kuwa uhame leo leo?hao waliotangaza kuwa watahama na bado wapo ndio hawana msimamo
Kwahiyo yale yalikuwa maigizo au tamthilia?Kukaa mbele ya press conference sio kuwa umerudisha kadi. Ni kutoa taarifa kwa Umma. Kwani wakati Edward Lowassa anakuja Cdm alirudisha ya Ccm? Akili zako lazima ziwe zinajiongeza mkuu.
Sijui we unafikiria nini?Kwahiyo yale yalikuwa maigizo au tamthilia?
Katiba ya JMT ibara ya 76(2) inasema kama jimbo litakuwa vacant. Lazima uchaguzi uitishwe. Mimi nina uhakika spika anajua jimbo la Ndanda sio vacant.Wewe hazimo kichwani. Akina Komu hawajajitoa chadema, walisema watajitoa muda ukiisha. Mwambe yeye alijivua kabisa uanachama akachukuwa na kadi ya ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kunitukana unavyotaka. Ila waneshajitoa impliedly. Kama wangekuwa na ubavu wange wafukuza.
Kwa hiyo kuambiwa kwamba Komu,Selasini,Mwambe,Silinde n.k n.k walishahama Chadema ndio unalia na kugalagala?Unataka mwenyewe kutukanwa, maana unaeleshwa huelewi, kama ulikuwa na hoja zako, so unataka kutulazimisha tuzikubali hata kama si za kweli? Mtashangilia upuuzi wa viongozi wenu. Mjue kuna maisha baada ya hawa waliopo. Siku moja mwaweza juta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sitagombea tena kupitia Chadema ila hawajahama? Mh...sijuhi unaishi wapi ndugu,
Maana haya yote yalishajibiwa, ila nitakusaidia tu:-
1. Mwambe alitangaza wmeneywe kuhama na kadi ya CCM akachukua Lumumba mbele ya polepole
2. hao wengine wametangaza hawtaagombea tena chadema na sio kuhama.
3. Mungozo wa WHO, unasema ukikutana na mgonjwa waCORONA unapaswa kujitenga kwa kukaa alone ili kama umeambukizwa basi usije kuambukiza wengine.
Sijawahi kuona Dunia nzima.Ni Chadema pekee wana huu utaratibu.Ndio bado ni CHADEMA na kwa kuwa CHADEMA ni chama cha demokrasia wameheshimu mawazo yao. Wao wamesema Bunge hili likiisha watagombea kupitia NCCR- Mageuzi lakini hawajasema kwa sasa kwamba wameshahamia NCCR- Mageuzi.
Kwenye katiba ya CHADEMA hakuna mahala pameandikwa kwamba mtu akitangaza kwamba mbele ya safari atahama chama basi anakuwa amehama chama. Mwambe alihama chama.