Nambe
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 1,451
- 528
tatizo siku hizi watu hatuaminian tenaaa,na watu wamebadilika sana
kama uko makini utaona siku hz ndoa nyingi zinafungwa baada ya mdada kuwa mjamzito au hata kuwa na mtoto au watoto licha ya huko kungonoka tu...........
naamin ndoa zingekuwa na heshima sana kama kweli watu tungekuwa tunakwenda kulianzia hilo tendo ndani ya ndoa
kama uko makini utaona siku hz ndoa nyingi zinafungwa baada ya mdada kuwa mjamzito au hata kuwa na mtoto au watoto licha ya huko kungonoka tu...........
naamin ndoa zingekuwa na heshima sana kama kweli watu tungekuwa tunakwenda kulianzia hilo tendo ndani ya ndoa