Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

Kwanini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa?

Huwez kuuziwa mbuzi kwenye gunia... Unaoa unakuta papuchi haieleweki na mbaya zaid ndoa ya kikristo mke mmoja.. Ko lazima upime kabla ya kuweka ndan jumla
 
kwa maisha ya sasa asilimia kubwa hufanya mapenzi kabla ya ndoa. kiukweli hatawewe kama umeoa yawezekana ulifanya mapenzi na huyouliyemwoa kabla ya kumwoa.
 
Theory zingine ni confusion tupu. Hapa zakuambiwa nachanganya na za kwangu halafu mixture yake ndo itanipa jibu kamili.
 
Ni lazima, usipofanya ukakutana na Mtera wakati ulishajikomiti utamlaumu nani?
Au kama ni demu ukikutana na Kibamia au Jamaa hasimamishi kabisa utamlaumu nani?
Hebu kamtest mwenzio haraka sana na utuondelee maswali yako hapa... Alaaa!!!
 
kuna ulazima.unaweza ukakuta kitandan gogo tu.sasa kama usha fanya ndoa na haujakuta ulichotegemea lazima tafrani itatokea....wengine ni wazuri wa sura tu masham sham hamna kitu.so kuna ulazima tena sana tu.
 
that is a new fashion in town.......,
kuna ka umuhimu kake jamani kuna mtu yeye mpenzi wake
alimwambia tusubiri hadi tufunge ndoa,ndoa imefungwa bishost
anakutana na mume mtarimbo doro akawa anaomba ushauri afanyaje!!!!!

sometimes its best to test oeach other
 
that is a new fashion in town.......,
kuna ka umuhimu kake jamani kuna mtu yeye mpenzi wake
alimwambia tusubiri hadi tufunge ndoa,ndoa imefungwa bishost
anakutana na mume mtarimbo doro akawa anaomba ushauri afanyaje!!!!!

sometimes its best to test oeach other

Mpendwa hayo ni maadili ya dini gani? Mbona tumekuwa waumini wa usasa zaidi.
 
mapenzi hayana kanuni hakuna mtu anampenda mtu eti kwa sababu alifanya naye mapenzi kabla ya ndo au mtu anamchukia mtu kisa eti alifanya naye mapenzi kabla ya ndoa. mapenzi ni kusikilizana sasa kama una mpenzi ambae mnapanga kuoana unakataa kufanya naye mapenzi unafanya na watu wengine huo ni ujinga. kama hujisikii kufnya mapenzi na mtu unasingizia mpaka tuoane inawezekana humpendi. nijuavyo mimi hamu ya kufanya mapenzi inatoka ndani ya mwili wako na ukikutana na unayempenda hata bila kukuambia nitakuoa unakubali mwenyewe. na kwa taarifa yako mimi ukinikatalia kuwa tusifanye mpaka ndoa nikaja nikakukuta wewe kumbe ulikwisha fanya hapo nakuchukia.
 
mapenzi hayana kanuni hakuna mtu anampenda mtu eti kwa sababu alifanya naye mapenzi kabla ya ndo au mtu anamchukia mtu kisa eti alifanya naye mapenzi kabla ya ndoa. mapenzi ni kusikilizana sasa kama una mpenzi ambae mnapanga kuoana unakataa kufanya naye mapenzi unafanya na watu wengine huo ni ujinga. kama hujisikii kufnya mapenzi na mtu unasingizia mpaka tuoane inawezekana humpendi. nijuavyo mimi hamu ya kufanya mapenzi inatoka ndani ya mwili wako na ukikutana na unayempenda hata bila kukuambia nitakuoa unakubali mwenyewe. na kwa taarifa yako mimi ukinikatalia kuwa tusifanye mpaka ndoa nikaja nikakukuta wewe kumbe ulikwisha fanya hapo nakuchukia.

hakuna kitu kama hicho, ni mmomonyoko wa maadili! Turudi kwenye vitabu vya dini vinatuasa vipi? Tatizo watu wamehalalisha mabaya na kuyakataa mema. Kama wewe mwanaume unajua huwezi kazi kwa nini uoe? Mwanamke km mumeo hawezi kazi na wataalam wa afya wamethibitisha ndoa inatanguliwa kisheria acheni hizo! Mtatest wangapi? C ndo chanzo cha magonjwa ya zinaa? Binafsi mtu akinishauri 'kutest' kabla ya ndoa huyo namput off moja kwa moja. What i blv is, if u are faithful, prayerfully, God will give u the right choice!!
 
Iwapo mwanamke unayempenda kakubali ufanye nae mapenzi kabla ya ndoa ujuwe huyo hatawacha kukusaliti. na wewe mwanamme kama unampenda mpenzio kwanini utake kufanya kabla ya ndoa?

Kama uko bikra kabisa na haujaguswa hapo ni sawa kabisa haina haja ya kufanya mapenzi kabla ya ndoa maana hata muoaji atafarijika na uvumilivu wake pale atapokuta kitu ni kipya.Lakini ni hapana kwa wadada wanafiki ambao kwa waoaji wanabana na kujifanya eti tusubiri hadi wakati wa ndoa lakini walishagawa na wanaendelea kugawa kwa wanaume ambao si waoaji!Kama alizoea kugawa kabla ya ndoa, uwezekano wa kukusaliti ni mkubwa kwani anakuwa amezoea kuonja radha tofauti tofauti.
 
hakuna kitu kama hicho, ni mmomonyoko wa maadili! Turudi kwenye vitabu vya dini vinatuasa vipi? Tatizo watu wamehalalisha mabaya na kuyakataa mema. Kama wewe mwanaume unajua huwezi kazi kwa nini uoe? Mwanamke km mumeo hawezi kazi na wataalam wa afya wamethibitisha ndoa inatanguliwa kisheria acheni hizo! Mtatest wangapi? C ndo chanzo cha magonjwa ya zinaa? Binafsi mtu akinishauri 'kutest' kabla ya ndoa huyo namput off moja kwa moja. What i blv is, if u are faithful, prayerfully, God will give u the right choice!!
hebu tuongee ukweli si kusema kufurahisha huku kinachofanyika ni tofauti. kwa wakati tulionao wa watu kuingia kwenye ndoa katika miaka 30 na kitu hiyo ni ngumu huku wakiingia kwenye mapenzi wakiwa na kumi nakitu. Wala si mmonyoko wa maadili bali ni kutambua mwili wa mwanadamu na kuweka taratibu za kusaidia kama kuanzisha watoto shule mapema ili waanze maisha wakiwa na umri mdogo. maadili yaliyowekwa Enzi hizo wakati mtu akibalehe tu anaolewa au anaoa ni tofauti na sasa
 
Napenda kuwauliza ndugu zangu, kwa nini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa? Why don't u wait until muoane?

Research zinaonyesha hii inasababisha mahusiano mengi yasidumu.
Unanunua kiatu pasipo kutest kama kinakufit then ndo ukajipime home,je kikiwa kidogo au kikubwa zaidi utamlaumu nani?
 
Kiwembe kiwembe tuu, ukiwahi tabuu, ukichelewa tabuu.. Utajitunza atakucheat pia,na humo atapata magumegume makali kunako 6*6,ambapo akija kukuoa wewe ambae hujawah do nae b4ndoa,na mpo in a relatnshp,heeh,kazi itakuwepo!!

Ngono ni ngao ya mikataba fekelo ya commitment fekelo katika mahusiano..but vitu fekelo differs depends on how u handle them! Chaweza dumu wakati mwingine.
Ngono yaweza tumika kama ufunguo wa mtu kuwa na control over you!o you over him o her.

Atleast a strong point,niPM
 
kwa hali hii kaz ipo katika kubadili mitazamo ya watu.Maana kila mtu ana mtazamo wake na kuja kunia mamoja inakuwa ngumu,yote kwa yote maadili yamemomonyoka na si vinginevyo
 
TITRATION muhimu, wengine unakuta TIGO ishatumika hata kupushi baby issue. hapo si balaa.

Halafu siku izi vibinti vinaiga mno, mamen nao vivyo hivyo. Vimovie vya Ngono vinadanganya mno vijana na hivyo kutamani kunanihii mapemaaaa
 
Back
Top Bottom