Mosalah_
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 314
- 720
Unajua mapenzi aliyaumba mungu kwa namna ya tofauti sana, kama ujawai kupendani na mtu uwezi kujua nini maana ya mapenzi.
Ukipendana na mtu mioyo yenu inakuwa kitu kimoja kihisia yani unazama , ulishawai kuzama wewe kama ni ndio hauwezi kusema Kataa ndoa.
Kwa nini hauwezi kukataa ndoa kwa sababu ukisha zama yani ukiwa kwenye penzi muda wote utatamani kuwa naye, kuongea naye n.k
Ebu niambie "umeshawai kupenda wewe " tuambie ni kitu gani ulikifanya ukajua kabisa umezama penzini.
KAMA MNA PENDANA MTA OANA,
KATAA NDOA NI KWA WATU WASIOJUA NINI MAANA YA MAPENZI.
Usiku mwema.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Ukipendana na mtu mioyo yenu inakuwa kitu kimoja kihisia yani unazama , ulishawai kuzama wewe kama ni ndio hauwezi kusema Kataa ndoa.
Kwa nini hauwezi kukataa ndoa kwa sababu ukisha zama yani ukiwa kwenye penzi muda wote utatamani kuwa naye, kuongea naye n.k
Ebu niambie "umeshawai kupenda wewe " tuambie ni kitu gani ulikifanya ukajua kabisa umezama penzini.
KAMA MNA PENDANA MTA OANA,
KATAA NDOA NI KWA WATU WASIOJUA NINI MAANA YA MAPENZI.
Usiku mwema.
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app