Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,648
kibinadam,mko sahihi bt kiimani hapana!!lkn kiukweli hutakiwi kufanya b4 ndoa hayo mambo ya kutest ni kwamba wa2 wamehalalisha dhambi!ila lyf styl na mmomonyoko wa maadili ndo umetufikisha hapa!
..lkn pia,kwa upande wa imani kila kitu kinawezekana!km m2 alishafanya huko nyuma,na akaamua kubadirika inawezekana sana 2,na Mungu akakupa mume/mke aliyeamua kubadirisha lyf styl mkaoana bila kufanya sex,na ndoa yenu ikawa poa.
Kwa Yesu kila ki2 kinawezekana!kwa waaminio!
Kuanza upya c ujinga
..lkn pia,kwa upande wa imani kila kitu kinawezekana!km m2 alishafanya huko nyuma,na akaamua kubadirika inawezekana sana 2,na Mungu akakupa mume/mke aliyeamua kubadirisha lyf styl mkaoana bila kufanya sex,na ndoa yenu ikawa poa.
Kwa Yesu kila ki2 kinawezekana!kwa waaminio!
Kuanza upya c ujinga