BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Last edited by a moderator:
Dhambi ni tamu,sex ni tamu coz biological na ipo pale kwA ajili ya kuzaa
Inategemea mtu unaamini nini. Sikuwa na sababu ya kujuta au kujiona mjinga baada ya kuitoa bikira yangu, kwa nini nijute ilihali niliamua mwenyewe tu kuwa sasa siitaki ndio nikaitoa? Afterall why keep it!
u have the ryt mindset though watakupinga vijana hapaNapenda kuwauliza ndugu
zangu, kwa nini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa? Why don't u wait until
muoane? Researh zinaonyesha hii inasababisha mahusiano mengi
yasidumu.
Thanx Afrique. But It's gud we umeelewa, just take action and teaches others.
Nani anafanya hivo? shame on them! :eek2:
As for me, I am saving myself for marriage.
I have never heard that
, You know hata mwanaume akikimbia God didn't meant for the two to be
2gether evrything happen for a reason even if we don't know that reason ,
me I do believe every woman has got her man , hata huyo malaya
aliyemmega akikimbia atakuja Mr right you gat me JAK
Basi afadhali mngekuwa mnajaribiana na hizo sex tu,sijui ndio eti mnapima kina cha maji,eti msije kuta kibamia au mguu Wa tembo yote ni sawaa!! Lakini vijana wasasa mnazidi jamani mnajazana na mimba kabisa then ndio mnatangaza ndoa Hivi Mbona mna tabia mbayaaa?? Mabiharusi wengiii siku hizi lazima tumbo lileee ndio fashion au ndio kupimana kwenyewe? Natamani iwekwe sheria na Hawa viongozi Wa dini zetu,hakuna ndoa itafungwa endapo bibie tayari Ana ujaunene!! Nadhani heshima ingekaa mstari mnyoofu
Napenda kuwauliza ndugu zangu, kwa nini mnafanya mapenzi kabla ya ndoa? Why don't u wait until muoane? Researh zinaonyesha hii inasababisha mahusiano mengi yasidumu.
mnaozini kabla ya ndoa msisizingizie umri.na wanaotoka nje ya ndoa watasingizia nini?mbona kuna walio olewa kwenye 25 mabikra?tatizo ni mmomonyoko wa maadili