Kwanini mnaenda kulewa wakati msiba unaendelea?

Kwanini mnaenda kulewa wakati msiba unaendelea?

Sherehe zipo tatu; kuzaliwa, kuoa/kuolewa/utawa na kifo...

Shuhuli ni watu. Wakutanapo lazima kiumane. Pombe kitu gani mkuu?. Kwani wasipokunywa ndo marehemu atafufuka? Muhimu shera zisivunjwe, amani na itawale.
Wanakunywa pombe wanalewa wanaleta fujo mpka kupigana ndugu kwa ndugu...
 
kwasababu sipendi tu.
"Tu" bila sababu ni wehu wenye wivu.Halafu,kama kunywa pombe ni rahisi,na wewe jaribu tukuone.Mnalalamika utadhani visichana vya uswahilini vimeachika.Mengine muwe mnatulia au na ninyi mnywe kahawa na kucheza bao.Simple tu!
 
"Tu" bila sababu ni wehu wenye wivu.Halafu,kama kunywa pombe ni rahisi,na wewe jaribu tukuone.Mnalalamika utadhani visichana vya uswahilini vimeachika.Mengine muwe mnatulia au na ninyi mnywe kahawa na kucheza bao.Simple tu!
Tulia dawa ikuingia napiga palepale kwenye mshono. Kudadadeki
 
Akiona wenzie wanaenda kulewa na yeye afumbe macho afanye sala.Sasa yeye anafuatilia mambo ya watu wazima kama mchawi!
Amenishangaza sana hiki mbona ni kitu cha kawaida sana.
Hata mimi nikienda msibani lazima nibebe konyagi au K-vant naiweka kwenye chupa ya maji just in case kama pombe hakuna basi naikata taratibu huku shuguli zinaendelea
 
Amenishangaza sana hiki mbona ni kitu cha kawaida sana.
Hata mimi nikienda msibani lazima nibebe konyagi au K-vant naiweka kwenye chupa ya maji just in case kama pombe hakuna basi naikata taratibu huku shuguli zinaendelea
Huyo anafaa awe anakaa jikoni aote moto tu hadi apauke kama amekula saruji na kujipaka mafuta ya taa.No way!
 
Wachagga oyeee..
umbea huu sio wachaga sema matajiri wote msibani akiwepo tajiri lazima watu wanywe bana. msiba ni safari ya mwisho ile mnamsindikiza mwenzetu huku mnapunguza stress.

nb: kumbuka wimbo wa msondo ngoma/ottu jazz band "Tunatoana roho yaraabiii..."

rejea verse ya suleiman mbwembwe
 
Ni Ubinafsi tu na ushamba,zamani tulikua tunakunywa Pombe kwenye msiba jioni tukisogeza masaa kesho ifike na hakukua na shida.

Vijana mnachanga mnashusha kreti zadhaa pale mnakunywa na wazee wa mama nao wanapelekewa zao.Wale wa Pombe ya kienjeji pia zilipikwa kwa wenye kuzipenda.
 
Habarini wanajf I hope mko good kabisa.

Niende kwenye key point direct bila kupoteza wakati hii issue ikoje watu mnaenda msibani kuzika then mnatoroka na kwenda kunywa pombe baa za jirani hatimaye mnalewa hovyo na kuonyesha picha mbaya kwa wafiwa.
Acheni hiyo tabia sio nzuri hata kidogo.

Hivi ni kwanini mnaenda kulewa wakati wa msiba unaendelea ni kwamba ni stress za msiba au mnasherekea kifo cha mwendazake?

Asanteni!!
Tunajifariji Mzee,
Marehemu alikua mwenzetu sana. Kumpoteza ni pigo kubwa sana kwetu, acha tu tupoze machungu.
 
Back
Top Bottom