Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 2,376
- 5,769
Habarini wanajf I hope mko good kabisa.
Niende kwenye key point direct bila kupoteza wakati hii issue ikoje watu mnaenda msibani kuzika then mnatoroka na kwenda kunywa pombe baa za jirani hatimaye mnalewa hovyo na kuonyesha picha mbaya kwa wafiwa.
Acheni hiyo tabia sio nzuri hata kidogo.
Hivi ni kwanini mnaenda kulewa wakati wa msiba unaendelea ni kwamba ni stress za msiba au mnasherekea kifo cha mwendazake?
Asanteni!!
Niende kwenye key point direct bila kupoteza wakati hii issue ikoje watu mnaenda msibani kuzika then mnatoroka na kwenda kunywa pombe baa za jirani hatimaye mnalewa hovyo na kuonyesha picha mbaya kwa wafiwa.
Acheni hiyo tabia sio nzuri hata kidogo.
Hivi ni kwanini mnaenda kulewa wakati wa msiba unaendelea ni kwamba ni stress za msiba au mnasherekea kifo cha mwendazake?
Asanteni!!