mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,045
- 1,503
Kigoma iko level kama ya UK, USA na nchi zingine zilizoendelea. Wanajitahidi kuifundisha dunia ya tz kuwa siasa hazikufanyi umubague mtu na chama hakikufanyi ujenge uadui na mwingine kiasi cha kutofungamana. Ni mko pekee wenye wabunge mchanganyiko NCCR, CCM, CDM kwa kuwa wanakigoma hupima mtu na si chama.
Kwa haraka mwaka 2010 ukimweka Slaa na Kikwete ukawapima bila kujali vyama vyao Kikwete anamwacha Slaa mbali sana. Kigoma wasingeweza kuchagua mtu mwenye kashifa za kuoa au kusambaratisha ndoa za watu. Aliyefungiwa duniani na mbinguni kafungiwa sasa Slaa alishashindwa na ya dini ataweza ya siasa?
Acheni kigoma iitwe kigoma, hawataki ubabaishaji, ni wanyoofu kiasi cha kutopenda kufanya kazi wa watu waliozoea kupindisha ukweli wa mambo! Kuiba mali za umma na kupora ruzuku za vyama huku wananchi wakiteseka. Mikoa mingine ikifikia level ya kigoma basi dunia itawapongeza vinginevyo ninyi ni mabwanyenye wa siasa.
Kwa haraka mwaka 2010 ukimweka Slaa na Kikwete ukawapima bila kujali vyama vyao Kikwete anamwacha Slaa mbali sana. Kigoma wasingeweza kuchagua mtu mwenye kashifa za kuoa au kusambaratisha ndoa za watu. Aliyefungiwa duniani na mbinguni kafungiwa sasa Slaa alishashindwa na ya dini ataweza ya siasa?
Acheni kigoma iitwe kigoma, hawataki ubabaishaji, ni wanyoofu kiasi cha kutopenda kufanya kazi wa watu waliozoea kupindisha ukweli wa mambo! Kuiba mali za umma na kupora ruzuku za vyama huku wananchi wakiteseka. Mikoa mingine ikifikia level ya kigoma basi dunia itawapongeza vinginevyo ninyi ni mabwanyenye wa siasa.