Mods tafadhari naomba usiunganishe uzi huu. Katika hali ya kusikitishwa napenda kusema kuwa wanakigoma wanadharaulika sana japo sina nia ya uchochezi ila nasema ukweli.
Kigoma imetajwa na wengi kuwa ni mkoa unaotoka wasaliti hasa humu jf, waha wajinga, wanatumikia ccm, sio watanzania etc. Sasa cha kujiuliza mbona mikoa inajinasibu kuwa ndio wapinzani wa kweli hawaongozi kwa kura za kumpa mgombea urais wa upinzani? Na iongoze kigoma 2010?.
Msmamo wa ukawa kuhusu s3 umetokana na maoni mengi kutoka kigoma? Mnataka upinzani upi tofauti na huo wenye tija? Tujenge misingi ya kuaminiana. Wasira nae kaongezea.
Kigoma imetajwa na wengi kuwa ni mkoa unaotoka wasaliti hasa humu jf, waha wajinga, wanatumikia ccm, sio watanzania etc. Sasa cha kujiuliza mbona mikoa inajinasibu kuwa ndio wapinzani wa kweli hawaongozi kwa kura za kumpa mgombea urais wa upinzani? Na iongoze kigoma 2010?.
Msmamo wa ukawa kuhusu s3 umetokana na maoni mengi kutoka kigoma? Mnataka upinzani upi tofauti na huo wenye tija? Tujenge misingi ya kuaminiana. Wasira nae kaongezea.