Kwanini mimi napata wanaume wa binafsi eti??

Kwanini mimi napata wanaume wa binafsi eti??

MSaada jamani mimi napataga wanaume wa binafsi tu .
MF. Hai Tate Mkuu huyu baba anahela sana tu ila kunipa aah yeye anipa zile kuku za wateja tu.
YAani mtu unampa muda wako upendo unamjali ila hata mia tu hakupi unajipambania sijui hii shida nini huwa .
yaani mawazo yenu yatasaidia
Na hao wote wamechakata hiyo papuchi alafu kesho uje useme mmeo kibamia
 
levels babe levels,, kuhongwa kunatokana na class hakikisha level yako unaifahamu na unaitendea haki ili kusudi ukipewa elfu kumi au 50 usimchukie au kushangaa mpenzi wako kwani pesa inatoka kulingana na hadhi ya mtu.
Huu ndo ushamba ambao wanawake wa kimatumbi bado wanao.

Yaani zama hizi bado unaji weka wewe na komwe lako uwe na hadhi? Binadamu sio nyanya wa kupangwa katika mafungu.

Nikiona mtu ana ongelea hadhi, eti sijui mimi muonekano wangu ni wadhi fulani naona bado haja kuwa kifikra
 
Wewe SweetyCandy kumbe ndo maana unawaza hela tu.. Na jina lako linasanifu yaani wewe ni kama pipi tu! Stop making excuses anza kujitafuta fanya kazi halali mwanaume humsaidia mwanamke mpambanaji. Ukiwa lizembe hata mwanaume anakuona Takataka. Amka na uanze kujiwekea hiyo thamani wewe mwenyewe kwanza kwa kuwa na kipato chako binafsi
 
Mtu hata hajali nchi haina makamu wa raisi ye anaomba hela tu ♥️
Jamani kila kitu kimeuzwa sasa mimi nihaingike ya nini mwenye kukabidhiwa amesha mkabidhi deogratious kijana ambaye hata mama yangu anamsifia kuwa ni mchapa kazi
 
MSaada jamani mimi napataga wanaume wa binafsi tu .
MF. Hai Tate Mkuu huyu baba anahela sana tu ila kunipa aah yeye anipa zile kuku za wateja tu.
YAani mtu unampa muda wako upendo unamjali ila hata mia tu hakupi unajipambania sijui hii shida nini huwa .
yaani mawazo yenu yatasaidia
Wakati mnakubaliana kuingia kwenye mahusiano kipengele cha kupeana hela kilikuwepo?
 
Back
Top Bottom