SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 5,181
- 9,796
- Thread starter
- #21
Sitani mdada nipo seriousHatuna uhakika hapo
Sitani mdada nipo seriousHatuna uhakika hapo
Wewe kwenye haya mambo una PhDNichangie japo kidogo.
Maisha ni mapenzi na mapenzi na wapenzi ni two way traffic.
Jaribu kumsoma sana mwanaume ulinae yaani jitahidi umjue huyo mpenzi wako ili asikusumbue.
Hapa namaanisha kuna watu wamezaliwa ni watoaji, wengine si watoaji kabisa, Wachoyo, wabinafsi na wala wa changu changu.
Ukimjua mwanaume uliye nae hapo sasa ni uhuru wako kukaa ukatulia au ukaendelea na safari ya kusaka unayemuhitaji wa vigezo vyako kitu ambacho si kibaya.
Wanaume wengine kuanza kutoa mpaka umchangamshe etiiiiii!!!!!!
kuchangamsha kupo aina nyingi
1. Mpe mambo mpe mahaba ya dhati mpe mapenzi ya dhati...... si kitandani tu bali kuanzia tabia jinsi unavyoishi nae na kadhalika
2. Tengeneza class yako
levels babe levels,, kuhongwa kunatokana na class hakikisha level yako unaifahamu na unaitendea haki ili kusudi ukipewa elfu kumi au 50 usimchukie au kushangaa mpenzi wako kwani pesa inatoka kulingana na hadhi ya mtu.
3. Ushirikiano
Hapo unaweza kuwa na mpenzi ambae ni mnapeana nipe nikupe. lakini hii mpaka uwe na akili na mjanja sanala sivyo utaliwa mchana kweupe.
Kiuhalisia wanaume wanaotoa pesa wapo wachache sana kwa sasa hivi hasa ukiwa huna kitu. wanaume wengi siku hizi wako kwenye target japo sio wote.......
Hujaelewa lazima umtunzee mwanamke wako sasa kama hata hela ya saloon hatoi una mtu kweli ?? Wenzako wananunuliwa watakacho wanapewa hela ya saloon hadi ya kucha ?? Mimi chakula tu nitabu etiTafuta wanawke wazoefu wa kuhongwa wakupe ABC za nini ufanye ili uhongwe.
Ila ni umasikini wa fikra mtu kukaa kuwaza nini ufanye ili mwanaume akupe pesa, sema ndio dada zetu mmeji-tune hivyo.
Mi naona hivyoHatuna uhakika hapo
Na hiyo ndio maana halisi ya jobless,, nina ka PhD kangu kananiweka mjiniWewe kwenye haya mambo una PhD
Da! nimecheka kwa sauti kubwa sana auntNa hiyo ndio maana halisi ya jobless,, nina ka PhD kangu kananiweka mjini
enjoy your dayDa! nimecheka kwa sauti kubwa sana aunt
Jamani tusaidie wengineNa hiyo ndio maana halisi ya jobless,, nina ka PhD kangu kananiweka mjini
Kama hana?Kwani we hela zako zina kazi gani si ujihonge mwenyewe?
Haina raha aKwani we hela zako zina kazi gani si ujihonge mwenyewe?
Hana hofu ya kukupoteza na ameona huna thamani ya kula hela zake!Haina raha a
Pole sana. Inabidi uongee na wenzio wanaojiuza ili wakupe mbinu jinsi wao wanavyowapata wenye hela. Kuna sehemu labda unakosea kwenye biashara yako.MSaada jamani mimi napataga wanaume wa binafsi tu .
MF. Hai Tate Mkuu huyu baba anahela sana tu ila kunipa aah yeye anipa zile kuku za wateja tu.
YAani mtu unampa muda wako upendo unamjali ila hata mia tu hakupi unajipambania sijui hii shida nini huwa .
yaani mawazo yenu yatasaidia
Wewe unauza mapenzi?MSaada jamani mimi napataga wanaume wa binafsi tu .
MF. Hai Tate Mkuu huyu baba anahela sana tu ila kunipa aah yeye anipa zile kuku za wateja tu.
YAani mtu unampa muda wako upendo unamjali ila hata mia tu hakupi unajipambania sijui hii shida nini huwa .
yaani mawazo yenu yatasaidia
Nimeelewa mkuu,Hujaelewa lazima umtunzee mwanamke wako sasa kama hata hela ya saloon hatoi una mtu kweli ?? Wenzako wananunuliwa watakacho wanapewa hela ya saloon hadi ya kucha ?? Mimi chakula tu nitabu eti
Kama una upendo unataka mia ya kazi gani? Ukimpa upendo ujue ni sadaka subiri Yesu arudi akufanye mfano wa kuigwaYAani mtu unampa muda wako upendo unamjali ila hata mia tu hakupi
Njoo tuyajenge naweza kuongeza mke😍Sijakukataa bhana ulikuwa tayari umeshaoa jamani
Mada inachekesha kama wewe sio mleta madabora hata umeleta uzi wa kuchekesha hii wiki ilikua ngumu sana