Kwanini mikoa iliyotawaliwa na Mwarabu watu wake ni wavivu balaa?

menny terry

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
509
667
Wakuu habari zenu,

Ni muda sijapita humu, leo nimeibuka na swali ambalo limekuwa likinisumbua Kwa muda sasa. Nina vi project vyangu hapo Bagamoyo na Pale Kilwa. Tangu nianze mpaka sasa napata wakati mgumu sana wa kupata vijana wachapa kazi.

Huku vijana ni wavivu mno! Mambo ya kuchimba mashimo, sijui kulima hakuna! Ukileta leo watu kesho wanakukimbia no wonder kuna umaskini wa kutupa maeneo haya ilhali kasi ya kuzaliana ni zaidi ya lile bando la 4G la Vodacom. Hali hii haina tofauti na kule Tanga, na maeneo mengi alikopita Mwarabu! Najiuliza tatizo hasa ni nini? Mwarabu aliacha nini huko au ni laana ya mwarabu?
 
Ndio kusema wame muiga muarabu kwa uvivu?je ni kweli waarabu ni wavivu? Muarabu kapita tabora Shinyanga sherui kinampanda singinda mbona watu hao mfano wanayamwezi kazi ngumu mpe myamwezi wasukuma mpaka sasa hakuna kabila lilo vunja lekodi kwa kuchapa kazi kama wasukuma haya wanyiramba wa singinda sherui ni wachapa kazi haswa hata hao waarabu ni wachapa kazi ukwasi wao tunauona hao watu wa pwani labda unawapunja ndio maana wanakukimbia unataka wakufanyie kazi ya sh 20000 kwa sh 5000 hiyo ndio tabia ya wabongo wakifika sehemu yenye watu wenye dhiki lakini watu wa kutwa ndio wanao ongoza kwa kuzalisha nazi safi hata soko la mihogo dar wamelishika wao.

Tutajie kabila lako na mkoa wako hili tulinganishe.
 
Mwarabu keshaondoka wacha wavute pumzi kidogo warelax.

Kutumikishwa na mwarabu utadhani anaetumikishwa ni mnyama, hakuna huruma kabisa
 
Wazungu walikuwa wakifanya na bado wengine wanafanya kazi ngumu sana hata baada ya maendeleo makubwa ya teknolojia, halafu huwezi kufananisha West na pwani ya Africa ambapo kila shughuli bado ni manual.
Ushaona mzungu anachimba shimo analima
Hzo kazi ni za wanyama
Kazi ngumu mpe msukuma na muha
 
Ndio kusema wame muiga muarabu kwa uvivu?je ni kweli waarabu ni wavivu?muarabu kapita tabora Shinyanga sherui kinampanda singinda mbona watu hao mfano wanayamwezi kazi ngumu mpe myamwezi wasukuma mpaka sasa hakuna kabila lilo vunja lekodi kwa kuchapa kazi kama wasukuma haya wanyiramba wa singinda sherui ni wachapa kazi haswa hata hao waarabu ni wachapa kazi ukwasi wao tunauona hao watu wa pwani labda unawapunja ndio maana wanakukimbia unataka wakufanyie kazi ya sh 20000 kwa sh 5000 hiyo ndio tabia ya wabongo wakifika sehemu yenye watu wenye dhiki lakini watu wa kutwa ndio wanao ongoza kwa kuzalisha nazi safi hata soko la mihogo dar wamelishika wao

Tutajie kabila lako na mkoa wako hili tulinganishe
Hivi mbona watu bado wana mentality ya kuwa kuchapa kazi ni kushinda juani unalima na jembe la mkono
 
Mlenda mlenda sana na wanapenda maisha ya short cuts success kama;

• Kupiga dili kazini.

• Kupitisha magendo.

• Kuwa punda wa unga.

• Kuwa Punga.

NB:

Kiuhalisia Me ameumbwa kiukakamavu ndiyomaana hata baadhi ya kazi huwezi kupata jinsi Ke wengi kama Ukomandoo.

Me mlaini laini kama sponchi jitafakari zaiina uchukue hatua/ubadilike.
 
Back
Top Bottom