Kwanini mji wa Moshi unarudi nyuma kimaendeleo?

menny terry

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
509
667
Wakuu, wakati miji kama Arusha inakuwa kwa kasi ya ajabu mji wa Moshi mambo ni tofauti kabisa, Moshi inazidi kurudi nyuma. Nini kimeukumba mji wa Moshi, mbona hakuna maendeleo yoyote ya maana?

Miaka ile ya uhuru Moshi ndo ilikuwa kitovu cha biashara, kwasasa Moshi inatia huruma! Viwanda vyote vimekufa, katikati ya mji ni kichekesho kwani zile nyumba kukuu za tangu uhuru bado zipo. Kitu pekee cha kujivunia Moshi ni usafi wa hali ya juu, zaidi ya hapo Moshi imeporomoka sana.

 
Sio Moshi town tu, hata huko vijijini kumekufa vijana wamekimbilia daresalamu kule wamebaki wazee tu, hata watoto wadogo ni wachache sana watu hawazaliani kabisaa, na wanakunywa pombe kweliii, Nguvu ya ziada inahitajika ili kuurudisha uchumi katika msunguko wake kwa kuanzishwa kilimo ambacho kitakuwa na hela ndefu ambacho kitashawishi watu kurudi tena vijijini na kulima kilimo hicho, tena kwa kweli tunamshukuru sana rais wetu kwa kuruhusu "Mtu akilima aweze kuuza mazao popote pale".
 
Sio Moshi town tu, hata huko vijijini kumekufa vijana wamekimbilia daresalamu kule wamebaki wazee tu, hata watoto wadogo ni wachache sana watu hawazaliani kabisaa, na wanakunywa pombe kweliii, Nguvu ya ziada inahitajika ili kuurudisha uchumi katika msunguko wake kwa kuanzishwa kilimo ambacho kitakuwa na hela ndefu ambacho kitashawishi watu kurudi tena vijijini na kulima kilimo hicho, tena kwa kweli tunamshukuru sana rais wetu kwa kuruhusu "Mtu akilima aweze kuuza mazao popote pale".
Kati ya mikoa ya ovyo Sasa hivi kuishi ni Kilimanjaro.

Huku hata hao wazawa wa Kilimanjaro wenyewe wanapakimbia Kila siku.
 
Umesema kweli

Moshi inaweza kupigwa bao mpaka na Kahama.

Kwa ukuaji WA mji hata Mafinga ukuaji wake ni mkubwa kuliko Moshi.

Vijana wa Kilimanjaro tujitafakari
Mikakati ya kuurudisha uchumi wetu pale haipo, ubinafsi umekuwa ugonjwa mbaya sana kwa jamii ya wachaga, ile mikakati ya Umoja haipo tena, let's kinga arise for they are unity!
 
Moshi ipo Kati ya mini minne ambayo serikali inawekeza nguvu kubwa , Arusha , Tanga , Dodoma na Dar es salaam .. ni ngumu kutanuka Sana , hata kuwa hvyo tuu imejitahd , hata hvyo ni wilaya inayoaccomodate makazi Bora kabisa mpak vijijini , miji mingine makazi Bora yamerundikana sehemu moja....!!
 
Back
Top Bottom