young_stunner
JF-Expert Member
- Nov 9, 2016
- 374
- 545
Njoo bukoba Baba upate chakula pale ELCT Hotel au Tea room nisijue mikoa mingine lkn ata uko bukoba kuna kolping hotel kashura hapo kuna chakula kizuri sana
Hahahaha...pale "Mwambao" ndio mahali napoendaga kula Pilau MbuziKuna ki restaurant hapa arusha kinaitwa mwambao kinamilikiwa na wazenji kuna pilau mbuzi haijawahi kutokea, hapa kesho Christmas nina mpango wa ku lunch pale
Ni pilau inayosifika zaidi hapa arusha
Watu wa pwani wanajua kupika sababu maeneo yao kuna spices nyingi na wamekuwa nazo wanafahamu kuzitumia vizuri
Kama unazungumzia vyakula vya kiswahili kama chai, pilao, biriani uko sawa ila kama unazungumzia vyakula kama nyama choma, michemsho, mitori nk umekosea sana.Mimi ni Mkristo!
Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!
Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
Hii comment ni too general na sijui ulifanyia wapi hiyo research. Nakubaliana na aliye comment kwa habari ya ukanda na sio udini. Hayo malezi ulosema wanafanya wote na wote pia hawafanyi.Me nafikiri ni interest ya mtu dhidi ya kupika na malezi.
Kwa binti wa kiislamu mara nyingi huwa wanafundishwa kupika pindi wanapokuwa nyumbani na hata kama yupo bize na shule lazima hata wikiend asaidie kupika hata kama kuna msaidizi wa kaz tofauti na hao wengine
Then kama mtu ana interest ya kupika atajifunza tu regardless ni dini ipi
Sasa mara nyingi wakristo hawalelewi hivyo na wala kujifunza hawataki na interest hawana
Aisha au Zulfa atapika vizuri kuliko Janet au ScholarMkuu ni malezi tuu sio elimu wala kukosa muda, kama huamini chukua binti wa kikristo mwenye degree na binti wa kiislam mwenye degree waambie wakupikie chakula au wape pesa kiasi sawa kwa matumizi ya home au kujipendezesha alafu urudi uniambie nani fundi.
Na hata huo uzuri au sijui ktk chakula hutamkwa ubora ni kulingana na tamaduni za mtu husika, mfano kwa aliyekulia Pwani ugali wa kisukuma ni mbaya kwake na kinyume chake msukuma ndo hali na akila ni kwa shida sana ugali wa kipwani. Kwahyo uzuri au ubaya wa mapishi ni kutokana na yale uliyoyazoea wewe, mmasai ugali anaweka chumvi na ndo mzuri kwake.Umekosea sana kuiweka ktk uislam na ukristo ingekaa kiukanda kungekuwa na mantiki, we mchukue mwanamke muislam wa shinyanga na mwanamke muislam wa tanga hlf wakupikie ndo utajua ishu sio dini ni eneo na tamaduni ya eneo husika
Mkristo wapi-acha unafikiMimi ni Mkristo!
Nchini mwetu hatuna maeneo ya wakristo wengi au waislamu wengi, huo upuuzi peleka Nigeria, Kenya au India. Isitoshe uliwahesabu ukajua idadi zao katika kila mkoa?Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana.
Poor reasoning-yaani wamiliki wa mgahawa-tena unao kutana nao wewe kuitwa Zena, Hamisi, Hadija, Aisha, Mpemba tayari usha generalize waislamu ni bora kwenye mapishi kuliko wakristo.Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!
Vipi mtori bomba pia unapatina hapo mwambao? Vipi na mchembe wao ukoje?Hahahaha...pale "Mwambao" ndio mahali napoendaga kula Pilau Mbuzi
Ni wakali wa mapishi kwakweli.
Hahaa, umeshalinganisha ubavu wake na wakoMawazo yako yanalenga , uchochezi utakao sababisha uvunjifu wa amani nchini kama usipodhibitiwa.kaa chonjo nitakushughulikia kabla hujashughulikiwa na vyombo vya dola
Mtori bomba sijawahi kuuona pale.Vipi mtori bomba pia unapatina hapo mwambao? Vipi na mchembe wao ukoje?
Vyakula vya kimwambao hivyo msukuma lazima aende shule hapo, ila wakiweka ligi ya kupika michembe na magugulu then mteja akiwa ni msukuma hiyo Hotel ya mwambao na uzanzibari wao watatoka nduki.Mtori bomba sijawahi kuuona pale.
Pale watu wengi wakienda wanaagiza pilau mbuzi, pia bites zao na juice halisi ni nzuri sana.
Wakati unaandika ujinga huu, kesho usiwe wa kwanza kusema 'oooh mbona nafasi wanapewa Edith na Rachel tu, kwani kina Mwantumu na Zena sio wanawake'?Bila shaka mumeo unamlisha notes zinazonukia harufu nzuuuuuri ya wino.
Kusoma kwako kukusaidie kujitambua ili kuyamudu mazingira ya sasa na yajayo.
Mazingira yajayo ni kujua kuwa ipo siku utakuwa mke, na huna budi kutimiza majukumu yako ikiwa ni pamoja na kumpikia mumeo. Vipo vitu vingi vinavyoongeza upendo, hata hili pia lina mantiki.
Hujachelewa, chukua hatua.
Wakati unaandika ujinga huu, kesho usiwe wa kwanza kusema 'oooh mbona nafasi wanapewa Edith na Rachel tu, kwani kina Mwantumu na Zena sio wanawake'?
Maisha ni maandalizi. Mtu akiniambia wanawake wa Kikristo hawajui kupika labda nitamuuliza chakula gani. Kitu kama biriani na vitumbua si asili ya watu wa bara na hata mimi ukinipikia biriani utamichefua. Nikiwa na akili zangu timamu, too much spices ni uchafuzi wa tumbo langu. Mke wangu anajua kupika, kuliko hao mama ntilie walioorodheshwa hapa.
Kitimoto mnaturostiaga nyie?
Labda huko uswahilini mnakoishi waweza kuona jambo, wacha nikusaidie. Wakati mama Flora anamhimiza binti yake aende shule maneno yake hayatafanana na ya mama Aisha akimhimiza Aisha asugue sufuria 'ling'ae'.
Mama Flora: Hivi wewe, ukishafeli utaishi maisha gani hapa mjini kama sio kutegemea wanaume wakulishe wewe? Nani anataka golikipa siku hizi?
Mama Aisha: Wewe endeleaga hivyo hivyo na mkichwa wako mzito, tui la kwanza linakuwaga hivyo...we hata humalizi mwaka mumeo atakuolea mke mwingine, hebu niondokee hapa
MAISHA NI VIPAUMBELE.
Tuna muda wa kutafuta helaHamjui kupika wala kugegedana
Kuna ki restaurant hapa arusha kinaitwa mwambao kinamilikiwa na wazenji kuna pilau mbuzi haijawahi kutokea, hapa kesho Christmas nina mpango wa ku lunch pale
Ni pilau inayosifika zaidi hapa arusha
Watu wa pwani wanajua kupika sababu maeneo yao kuna spices nyingi na wamekuwa nazo wanafahamu kuzitumia vizuri