Kwanini Migahawa ya Wakristo Tanzania haina chakula kizuri?

Bila shaka mumeo unamlisha notes zinazonukia harufu nzuuuuuri ya wino.

Kusoma kwako kukusaidie kujitambua ili kuyamudu mazingira ya sasa na yajayo.
Mazingira yajayo ni kujua kuwa ipo siku utakuwa mke, na huna budi kutimiza majukumu yako ikiwa ni pamoja na kumpikia mumeo. Vipo vitu vingi vinavyoongeza upendo, hata hili pia lina mantiki.
Hujachelewa, chukua hatua.
Kabla ya waarabu kuja afrika mashariki mapishi yalifanana kwa kiwango fulani kati yetu. Nunua mapishi kwa waislam ni matokeo ya kuadopt eastern Arabic civilization ambao kwao kupika wamekutilia juhudi sana ndo maana hata ukienda mighahawa ya wapemba wapishi wengi ni wanaume kwa hiyo Hilo jambo lipo kitamaduni zaid kuliko kidini. Sidhani kama Kuna mafundisho ya mapishi kwenye Quran Wala Bible.
 
Utamu na usio utamu ni relative term in terms of food consumption. Mimi nimeshindwa kuelewa wahaya wanaposema matoke ni matamu huo utamu wanaupataje ila ukweli ni kuwa wanauhisi. Wametest hivyo vyakula vingine ila hawajaona huo utamu. Ndo mana nasema UTAMU UKO KWENYE ULIMI WA MUHUSIKA.
 
Mimi ni Mkristo!

Katika kusafiri safiri kwangu mikoani, nimegundua migahawa mingi iliyopo kanda ambazo zina wakristo wengi kama Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa n.k. huwa na chakula kibaya sana. Migahawa inayofanya vizuri mara nyingi huwa inamilikiwa na Mama Zena, Hamisa, Hadija, Aisha, Mpemba, n.k. Majina ambayo huwa yana uhusiano na dini ya Kiislamu. Mke wangu ni mpishi mzuri sana, labda kwa sasa alibadiri dini; lakini nasikia wanawake wa kikristo mapishi kwao ni taabu!

Kuna tatizo gani la upishi katika Jamii ya Kikristo Tanzania?
mzee ni kwasababu hawaweki maji ya ........... kwenye msosi.
 
pale mafinga kuna restaurant moja inaitwa"ZANZIBAR YETU" aiise hao wapemba wanapika chakula kitamu,,mno hata pale mbagala zakheem kuna restaurant moja hivi ya waislamu nimeisahau jina,,hao jamaa wapo vizur kwenye sekta ya msosi

mimi ni mkristo lakini nakubaliana na hoja yako mkuu
 
ukweli 100%
kupanga ni kuchagua. kama toka dunia imeumbwa hakuna gari ya kiarabu,hakuna meli ya kiarabu,hakuna ndege ya kiarabu, hakuna kitu mwarabu kavumbua kisayansi mwarabu bado anafuata maagizo ya mnyaaz ndo maana ni bingwa wa kupika,pafyum,mapazia,mabusati kupiga pu... no.
dunia inasonga mbele.
Kwahiyo mtu Mwarabu wewe ndio unachukulia ni uislam? Hujui kuna maaskofu Wa kikristo waarabu?
Pia meli ni technology ya kale. Hivyo eneo lote lenye mazingira ya mito Bahati lake .n.k binadamu aligundua usafiri Wa majini like mtumbwi mashua meli n.k

Upishi ni viungo ukijua kuvichanganya... Migahawa au hotel za wamiliki Wa kiislam hutafuta wapishi Wazuri na wasio wavivu kwenye kupika. Na wakrusto wengi kukaa jikoni ni wavivu ndio maana misosi mibaya sio siri yaani mpaka abahatishe ndio utaenjoy. But misosi mitamu hayo huwezi kula kila siku inakinaisha... Zamani tulikuwa tunajua siri ya msosi mtamu ni binzari lakini hamna kitu ni sumu tupu mwilini tukastuka tukaacha kabisa... Kuhusu pilau tukaona ni tamu tukapewa viungo vimesagwa pilau ikipikwa ni Mbaya mno kumbe viungo havitakiwi kusagwa na mchele Wa pilau sio ule Wa Moro,ndungu,au shinyanga wake ni pishori au basmat.. Mandi special ni ya kisomali
 
Acha maneno yako, uchochezi wapi, huo ndio ukweli, waisalamu wanajua kupika na nisababu ya connection ya uarabu. Kipindi cha Ramadhani sote tunakula futari regardless of dini zetu, coz hawa jamaa ni noma kwenye mapishi.
Mkuu, Mie yangu mcho ! Utajikuta uko kituo cha police cha kati!, je, unakumbuka yaliyotokea Buselesele mkoani Geita mwaka 2014?
 
Back
Top Bottom