yes, but what you do not seem to acknowledge is that, if there is factor that is affecting our minds, and we are capable of finding ways to deal with it, then our bodies perception to that factor will keep changing with time, hence as you acknowledged earlier, that factor will never qualify to have persistently existed for a prolonged period time; so it won't affect the structure of our bodies. It may affect our thinking, but not the structure of our bodies.
Hivi kichuguu,ni kweli kabisa unaamini theory ya evolution?Wale watu weusi kule Australia na black indian unataka kuniambia hali ya hewa ya kule inafanana na ya Africa?Ni kwanini nchi moja kunakuwa na watu wenye ngozi za rangi mbili tofauti?Kuna nadharia nyingine inadai watu wa asili ya bara hili sio weusi ni aina ya watu wanaofanana na waarabu,sijui unaifahamu nadharia hiyo?
Umeingia choo cha wanaume - OUT!hi dear one................................
am very happy to write this piece of mail
to you after going through your profile
my name is milibert david ,i will like
to share some of my photos and ideals
with you,so we can be best of friends;
please i will like
you to write me back on my email
address (milibertdavid20@yahoo.com)
so i can update you and tell you more
about myself,
your new friend
milibert
Swaali zuri sana;
Kwanza fahamu kuwa kuna mbilikimo wa aina mbili: mbilikimo wa asili (pygmy) na mbilikimo wa ugonjwa (dwarf). Wale wa kongo ni mbilikiko wa asili kwa maana ya kuwa maumbile yao ni asili yao na yanatokana na mazingira yao ya asili. Umbilikimo wa aina hii ni hereditary kwa maana ya kuwa huzaliwa na mbilikimo pia. Ni kama ambavyo maumbile ya asili ya waachina yalivyo tofauti na maumbile ya asili ya wazungu, na pia wachina huzaliwa na wachina tu.
Kuna mbilikimo wa aina nyingine ambao wanapata matatizo ya mwili kushindwa kutengeneza hormones zinazohitajika mwili kukua, na hivyo kubaki na umbo la kitoto maisha yao yote; hawa wanajulikana kama drwafs. Mbilikimo wa aina hii huweza kutokea katika familia yoyote ile, wazazi wawili warefu wanaweza kuzaa mbilikimo wa aina ya dwarf.
Theories zinazonyesha kuwa evolutionary process iliyosababisha waafrika wakawa na ngozi nyeusi kutokana na mazingira ya joto la tropical, ndiyo pia iliyosababisha watu waliokuwa wakiishi kwenye misitu mizito kama vile Kongo kuwa wafupi kwa vile miili yao ilikuwa inakosa mwanga wa jua kutengeneza vitamin D; kwa hiyo miili yao ikawa haiwezi ku-absrob calcium ya kutosha, jambo liliosababisha wawe na mifupa midogo na hivyo kuwa na miili midogo. Misitu ya Kongo ndiyo yenye mbilikimo wengi wa aina hiyo ikifuatiwa na misitu ya Amazon huko Brazili. Kuna sehemu nyingine za dunia kama Papua New Guinea na Australia ambako pia kuna mbilikimo waliotokana na misitu mikubwa iliyokuweko maeneo hayo.
MAMMAMIA;
Sina uhakina na yatakayotokea miaka milioni tano zijazo kwa sababu najua kuwa siku hizi watu hawakai sehemu moja kama ilivyokuwa miaka milioni tano zilziopita. Ila nina uhakika kuwa mazingira hubadilisha namna ambavyo miili inavyo-interact nayo. kwa mfano, nilipokuwa naishi Dar es salaam, nilikuwa sina matatizo na lile joto la mtaa wa Msimbazi, lakini siku hizi kila nikirudi Dar huwa naishia kuwa navuja jasho kila wakati nipokuwa siko kwenye nyumba yenye air conditioner.
Swaali zuri sana;
Kwanza fahamu kuwa kuna mbilikimo wa aina mbili: mbilikimo wa asili (pygmy) na mbilikimo wa ugonjwa (dwarf). Wale wa kongo ni mbilikiko wa asili kwa maana ya kuwa maumbile yao ni asili yao na yanatokana na mazingira yao ya asili. Umbilikimo wa aina hii ni hereditary kwa maana ya kuwa huzaliwa na mbilikimo pia. Ni kama ambavyo maumbile ya asili ya waachina yalivyo tofauti na maumbile ya asili ya wazungu, na pia wachina huzaliwa na wachina tu.
Kuna mbilikimo wa aina nyingine ambao wanapata matatizo ya mwili kushindwa kutengeneza hormones zinazohitajika mwili kukua, na hivyo kubaki na umbo la kitoto maisha yao yote; hawa wanajulikana kama drwafs. Mbilikimo wa aina hii huweza kutokea katika familia yoyote ile, wazazi wawili warefu wanaweza kuzaa mbilikimo wa aina ya dwarf.
Theories zinazonyesha kuwa evolutionary process iliyosababisha waafrika wakawa na ngozi nyeusi kutokana na mazingira ya joto la tropical, ndiyo pia iliyosababisha watu waliokuwa wakiishi kwenye misitu mizito kama vile Kongo kuwa wafupi kwa vile miili yao ilikuwa inakosa mwanga wa jua kutengeneza vitamin D; kwa hiyo miili yao ikawa haiwezi ku-absrob calcium ya kutosha, jambo liliosababisha wawe na mifupa midogo na hivyo kuwa na miili midogo. Misitu ya Kongo ndiyo yenye mbilikimo wengi wa aina hiyo ikifuatiwa na misitu ya Amazon huko Brazili. Kuna sehemu nyingine za dunia kama Papua New Guinea na Australia ambako pia kuna mbilikimo waliotokana na misitu mikubwa iliyokuweko maeneo hayo.
Acha kukwepa swali,hujaulizwa kama utakuwepo,soma swali vyema kisha ujibu!
Kabla sijapoteza kusoma swali lako huko nyuma kama ulivyosema, nihakikishiea kuwa uko kwenye mjadala kama mtu mzima siyo kama mtoto mdogo anayeweza kutumia lugha za dhihaka hata kwa watu asiowajua.Kichuguu,tazama page ya kwanza utaona post yangu na maswali unayotakiwa kujibu!
Mwalimu Kichuguu
Hivi kwa nini watu wa Pacific islands, Australia, India na Afrika chini ya Jangwa la Sahara [ambao umesema mazingira yao yalikuwa sawa] wana rangi za ngozi zinazofanana lakini nywele na macho hayafanani?
I hear you loud and clear that our bodies perception change over time. But you have to remember that our genes are selfish, they don't care what our version of dealing with a problem is. All they care is how they can better themselves based on the amount of data they have collected over the length period of time, to manipulate us, so we can pass them on to the next generation.
Think about this...
Do you know it's easier to copulate with seven different unattractive women in one day than it is to do it with one pretty woman, seven times? Your genes know that after copulation there is no point of doing it over seven times unless with a different woman.
We can fix our problems with our mind temporarily but our genes will continue to find the best possible option for our bodies structure to evolve.
Wao ndio wanakula watu , ukijipendekeza unakuwa kitoweo
Do you know it's easier to copulate with seven different unattractive women in one day than it is to do it with one pretty woman, seven times? Your genes know that after copulation there is no point of doing it over seven times unless with a different woman.
We can fix our problems with our mind temporarily but our genes will continue to find the best possible option for our bodies structure to evolve.
Sad as it may sound, yes.In your opinion, does this mean our genes influence polygamy as our natural behavior?
Things like vows and commitments are new to us, only work when we're conscious about our actions but at times when the rubber meets the road, we gravitate back to our old ways. Not matter how we like to skin the cat, we're pretty much running the old kernel my friend.This being the reason vows and commitments fail because they are temporal, hence "we" always.. cheat?