Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,319
- 17,474
Mkuu umesahau unaweza kuhesabu bila kuhesabu?Sasa utajuaje kwa uhakika kilichotokea miaka milioni moja iliyopita kama wewe umeishi miaka 1,000 tu?
Mkuu umesahau unaweza kuhesabu bila kuhesabu?Sasa utajuaje kwa uhakika kilichotokea miaka milioni moja iliyopita kama wewe umeishi miaka 1,000 tu?
Mkuu umesahau unaweza kuhesabu bila kuhesabu?
Katika ulimwengu wa hisabati unaweza kukokotoa mambo mengi tuu bila kujali uhalisia, mfano uzito wa jua unaweza kupimwa kwa ufasaha, japokuwa hakuna aliyewahi kufika huko.Unawezaje?
Katika ulimwengu wa hisabati unaweza kukokotoa mambo mengi tuu bila kujali uhalisia, mfano uzito wa jua unaweza kupimwa kwa ufasaha, japokuwa hakuna aliyewahi kufika huko.
Tukirudi kwenye mada yetu nafikiri unakumbuka kuwa viumbe hai na visivyo hai huwa vinachembechembe za mkaa (Carbon). Ukichoma magome ya miti au mifupa ya ng'ombe kwa muda fulani utaziona chembechembe hizo. Kiasili hii Carbon inatokea kwa aina tatu (isotopes of carbon) na mojawapo ya hizo ni Carbon-14. Sasa hii isotope huwa inaharibika baada ya muda fulani (radioactive decay), hivyo kwakulinganisha na zile ambazo hazijaharibika (mfano za viumbe hai) unaweza kukokotoa nyakati ambazo kiumbe kiliishi.
Kwa ufasaha? Hiyo nakataa...labda uniambie wanakadiria tu.
Still huwezi kupata matokeo ya uhakika. Utakachopata ni makadirio tu. Na makadirio si ufasaha wala usahihi.
Kwa hiyo, hapo utaona kuwa hata sayansi haina majbu kwa kila kitu na kwa baadhi ya mambo inaishia kukadiria tu.
Unaweza kuhesabu bila ya wewe kuwa miongoni mwa kile kinachohesabiwa!Unawezaje?
Kwa hiyo kipimo chako cha mtu anayeelewa vizuri ni yule anayekubaliana na bwana Kichuguu??!!! Funny as it may sound but this sounds too naive and stupid (no offence) but trust me there are very good counter argument against evolution and all you need to do to get them is using your keyboard wisely.Salute kwako Kichuguu. Hakika asiyeweza kuelewa maelezo yako si kosa lake ila ni madhara ya hizi shule zetu za kata.
Theory za evolution bado hazipo thabiti, ndio kwanza majibu ya baadhi ya mambo yanatoka sasa na mengine yatakuja baada ya miaka mingi mengine
Nywele za Blond za watu wa Solomon Islands wenye ngozi za kahawia au nyeusi hazitokani na chakula, wala uhusiano na Wazungu......ni genes iliyoanzia kwao wenyewe
Riddle of Solomon solved: Scientists find South Sea islanders blond hair didn't come from Europeans, but evolved separately | Mail Online
G wale watoto kwenye hiyo link wanapendeza sana, yaani nimewazimia ghafla and that is why I salute the creator and originator of the University the Almighty Allah(sw). (Najua watu watapanic hapa.........pole kwa yeyote atakayekwazika.)
Hivi mbilikimo ni sababu ya genes au kuna sababu nyingine yoyote. Je kama niko kawaida, naweza kupata mtoto mbilikimo?
Unaweza kuhesabu bila ya wewe kuwa miongoni mwa kile kinachohesabiwa!
Asante Kichuguu. Nini tofauti ya hao wawili maana wote si ndio hao hao?Ndiyo unaweza kuzaa mtoto mbilikimo aina ya dwarf. Nilieleza huko nyuma kuwa kuna mbilikimo aina mbili: pigmies na dwarfs. Dwarf wanatokana na pituitary glands kwenye miili yao kushindwa kutengeza hormones zinazohitajika ili mwili uweze kukua. Tatizo hili linaweza kumpata mtoto yeyote duniani bila kujali mazingira anamoishi; kwa hiyo hata wewe unaweza kumpata mtoto wa aina hiyo.
Kwa hiyo kipimo chako cha mtu anayeelewa vizuri ni yule anayekubaliana na bwana Kichuguu??!!! Funny as it may sound but this sounds too naive and stupid (no offence) but trust me there are very good counter argument against evolution and all you need to do to get them is using your keyboard wisely.
Nyani; don't turn yourself to be among those simple minds of the Thomas type. You got to wake up and learn to see things through a different lens. In science we always start where others left unless there is a strong reason to revisit earlier information. In the present case you have to have strong scientific reasons to discredit the theory of evolution rather than asking who counted the years.
Less than twenty years ago, we used to treat Malaria by just a single dose of 4/2/2 chloroquine tables; Plasmodium parasites evolved and their bodies developed ways to survive within the chloroquine infested environment. Today, as you and everybody knows, Chloroliquine is no a longer a threat to Plasmodium. That is a result of the theory of evolution!
Wewe mjanja, hata beer unapojifunza kunywa huwa chungu kidogo,evolution iki take place (sijui ni millions of years) inakuwa tamu, kwenye maelezo mengine mnasema evolution haiwezi kuonwa kwa kuwa inachukua millions of years, mkitoa mifano mnasema qrolokwini ambayo haina hayo mamillion, mmh kuna wakati inakuwa ngumu kumeza.