SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 2,603
- 4,028
Kwakuwa Tume ya Uchaguzi ya watu wa Malawi ni Huru , basi hakuna sababu ya kuzuia mawakala kupata nakala ya matokeo waliyoshuhudia.
Kunyima nakala ni uhuni, uwazi unahitaji kila chama kuthibitisha takwimu... Tume Huru haipaswi kuogopa ushahidi, kwani ukweli hudumu kupitia uwazi na usawa.
Ila shida inakuja hayo Matokeo yatakuwa ya Kura Halisi au pamoja na zile zilizotoka NIDA ya Malawi?
"Mawakala wa vyama hawaruhusiwi kuingia na simu za mkononi, kamera au vifaa vyovyote vya kurekodia katika vituo vya kupigia au kuhesabia kura."
Kunyima nakala ni uhuni, uwazi unahitaji kila chama kuthibitisha takwimu... Tume Huru haipaswi kuogopa ushahidi, kwani ukweli hudumu kupitia uwazi na usawa.
Ila shida inakuja hayo Matokeo yatakuwa ya Kura Halisi au pamoja na zile zilizotoka NIDA ya Malawi?
"Mawakala wa vyama hawaruhusiwi kuingia na simu za mkononi, kamera au vifaa vyovyote vya kurekodia katika vituo vya kupigia au kuhesabia kura."