Kwanini matusi yasitungiwe sheria kuondoa hizi tafsiri binafsi za wanasiasa zinazoendelea?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,125
Kama kinachoendelea kwenye majukwaa ya kisiasa ni matusi nadhani ni wakati sasa nchi itunge sheria ya matusi ili polisi wafanye kazi yao kwa mujibu wa sheria siyo maelekezo.

Juzi Kingu kasema atawataja maawara wa Mbowe CHadema wakasema ni matusi; CHadema wamepigania bandari na issue ya ngorongoro wameambiwa ni matusi kwa sababu wanapingana na watawala......

Haya mambo yaondoke kwenye medali za siasa na umri wa anayezungumza yaingizwe mwenye sheria ili kila atakayetoa kinywani mwake akamatwe.

Ulaya hakuna tena fadhila za tamaduni na mila, kila mmoja anawajibishwa kisheria.
 
Kama kinachoendelea kwenye majukwaa ya kisiasa ni matusi nadhani ni wakati sasa nchi itunge sheria ya matusi ili polisi wafanye kazi yao kwa mujibu wa sheria siyo maelekezo.

Juzi Kingu kasema atawataja maawara wa Mbowe CHadema wakasema ni matusi; CHadema wamepigania bandari na issue ya ngorongoro wameambiwa ni matusi kwa sababu wanapingana na watawala......

Haya mambo yaondoke kwenye medali za siasa na umri wa anayezungumza yaingizwe mwenye sheria ili kila atakayetoa kinywani mwake akamatwe.

Ulaya hakuna tena fadhila za tamaduni na mila, kila mmoja anawajibishwa kisheria.
Zitungwe sheria ngapi kuhusu matusi?

Hata neno :kichwa chako" linaweza kuwa tusi, inategemea kimetamkwa vipi na wapi.
 
Labda wengine hatujui matusi nini hivyo tuombe msaada wa kuyajua;
1. Hivi wezi wakiitwa wezi ni matusi? au mwema akiitwa mwema ni matusi?
2. Au wanataka wezina mafisadi wa mali zetu waitwe wazalendo au wabunifu?
 
Kama kinachoendelea kwenye majukwaa ya kisiasa ni matusi nadhani ni wakati sasa nchi itunge sheria ya matusi ili polisi wafanye kazi yao kwa mujibu wa sheria siyo maelekezo.

Juzi Kingu kasema atawataja maawara wa Mbowe CHadema wakasema ni matusi; CHadema wamepigania bandari na issue ya ngorongoro wameambiwa ni matusi kwa sababu wanapingana na watawala......

Haya mambo yaondoke kwenye medali za siasa na umri wa anayezungumza yaingizwe mwenye sheria ili kila atakayetoa kinywani mwake akamatwe.

Ulaya hakuna tena fadhila za tamaduni na mila, kila mmoja anawajibishwa kisheria.
sheria zipo ila kwa ccm hazifanyi kazi isipokuwa kwa wapinzani hasa chadema
 
Kama kinachoendelea kwenye majukwaa ya kisiasa ni matusi nadhani ni wakati sasa nchi itunge sheria ya matusi ili polisi wafanye kazi yao kwa mujibu wa sheria siyo maelekezo.

Juzi Kingu kasema atawataja maawara wa Mbowe CHadema wakasema ni matusi; CHadema wamepigania bandari na issue ya ngorongoro wameambiwa ni matusi kwa sababu wanapingana na watawala......

Haya mambo yaondoke kwenye medali za siasa na umri wa anayezungumza yaingizwe mwenye sheria ili kila atakayetoa kinywani mwake akamatwe.

Ulaya hakuna tena fadhila za tamaduni na mila, kila mmoja anawajibishwa kisheria.
Una uhakika gani kama hizo sheria zikitungwa zitafuatwa kwa vyama vyote. Kwa sababu sheria nyingi zimetungwa lakini hazifuatwi. Mfano mkataba wa kuuza bandari zetu haujafuata sheria za nchi ambazo bunge limezitunga lenyewe na bunge hilo hilo linazivunja lenyewe kwa kupitisha au kupiga mhuri mikataba mibovu ambayo imevunja sheria za nchi. Ndio hapo sheria za matusi zikitungwa na akitukana mfuasi wa kile Chama Chakavu hatakamatwa lakini akitukana mpinzani lazima atakamatwa bila hata muongozo wa PGO.
 
Back
Top Bottom