THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 1,760
- 3,322
Habari mwanajukwaa la michezo,
Leo katika tafakuri zangu nimewaza kitu ambacho kwa asilimia kubwa ukikifatilia kinaongelewa sana kama sio sasa basi hata hapo nyuma kilikua kinasemwa sana.
Kwa saiv No ubishi Yanga ana enjoy sana yupo kwatika Level ya peke ake kabisa, ambayo wamekua wakiitamani kwa mda mrefu mashabiki pamoja na viongozi...Ila upande wa pili hawapo vizur ukiwauliza au ukikaa na wachambuzi ukawauliza wanakwambia hizi Team hua zinapokezana wacha saiv Yanga atambe ila Simba nae utafika wakat wake na Yanga atakua Chini.
Kama naongopa waje watu hapa waniambie kua nimesema kauli ya uongo.
Najiuliza hivi ni kwanini wawe na kauli hii? hivi hizi team haziwez kua bora kwa wakat mmoja yani Simba ya Moto na Yanga ya Moto?
Kwanini Ili simba A-Shine why lazima Yanga Awe chini hamuwez kushine pamoja?..au Why ili Yanga A-shine lazima Simba awe down?
Why Between The Dowfall of One Team, Another Team is Rising? In sound of T.I.D😂😂
Leo katika tafakuri zangu nimewaza kitu ambacho kwa asilimia kubwa ukikifatilia kinaongelewa sana kama sio sasa basi hata hapo nyuma kilikua kinasemwa sana.
Kwa saiv No ubishi Yanga ana enjoy sana yupo kwatika Level ya peke ake kabisa, ambayo wamekua wakiitamani kwa mda mrefu mashabiki pamoja na viongozi...Ila upande wa pili hawapo vizur ukiwauliza au ukikaa na wachambuzi ukawauliza wanakwambia hizi Team hua zinapokezana wacha saiv Yanga atambe ila Simba nae utafika wakat wake na Yanga atakua Chini.
Kama naongopa waje watu hapa waniambie kua nimesema kauli ya uongo.
Najiuliza hivi ni kwanini wawe na kauli hii? hivi hizi team haziwez kua bora kwa wakat mmoja yani Simba ya Moto na Yanga ya Moto?
Kwanini Ili simba A-Shine why lazima Yanga Awe chini hamuwez kushine pamoja?..au Why ili Yanga A-shine lazima Simba awe down?
Why Between The Dowfall of One Team, Another Team is Rising? In sound of T.I.D😂😂