Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,560
- Thread starter
- #21
HehehheTatizo kampa vyote adi Mombasa yake. sasa sisi watz hatuwezi kuoa mwanamke anayetoa Mombasa.
Yeye awape mbele kati na nyuma hao Wakenya ndo wanawezana
Sasa ye alienda kusaka demu wa Mombasa wa nini?!
Si ndio akakaribishwa mombasa na mombasa
Ahahahaha watz wengine muwe mnajifikiria basi maana mnaaibisha taifa letu na uzalendo wetu