Clever505
JF-Expert Member
- Jul 27, 2020
- 1,099
- 2,030
Mkoa nilipo hapa kuna msichana ambaye tumetoka mkoa mmoja, kijiji kimoja yeye ameolewa huku, mimi bado sijaoa. Tumekaa muda mrefu bila mimi kujua kama na yeye yupo mkoani hapa ila yeye anajua uwepo wangu hapa. Alipopata namba yangu tukaanza kuwasiliana vizuri tu bila tatizo.
Yeye na mume wake pamoja na mtoto wao mmoja wanaishi pembeni kidogo ya mji, sasa siku moja akawa na safari ya kuja mjini ambapo mi naishi na ndo zilipo mishe zangu akahitaji tuonane. Nikamueleza sehemu ya kukutana ila ye akapendekeza tukutane ninapokaa. Kwa kuwa siku hiyo nilikuwa geto na kuna sehemu ambapo ilibidi niende kwa muda ule ikabidi nimwelekeze sehemu ya kutulia ili nikiwa narudi geto nimpitie lakini ye akasema anataka aje kwangu kisha niende ninapoenda ananisubiri kwangu. Nikakubaliana nae.
Nikamuelekeza ninapokaa akaja nikamwekea movie aangalie mi nikasepa. Baadae kurudi nikakuta mtoto wa watu amelala hana habari tena na movie. Alipoamka tukapiga stori kidogo time ikawa imeenda akawa anaaga ila cha kushangaza haondoki, nikamsoma anachokitaka ila mi nilikuwa namheshimu sana na kwa kweli nilishangaa kuona anataka tuivunje heshima yetu. Baada ya muda kidogo akaondoka.
Sasa kuanzia siku ile stori zake zikawa ni kama tumeshakuwa wapenzi. Mume wake anamjua bro wangu na huwa anawasiliana nae ila mi hanijui, siku moja asubuhi mapema sana akanipigia simu akajitambulisha kisha akaniuliza unamjua ( ) akataja jina la huyu msichana,. Kiukweli nilishtuka sana nikahisi ameziona zile texts zetu ila nikajikaza nikasema namjua.. Tukaongea kawaida tu na ile hofu ikanitoka.
Baadae yule msichana akanipigia akaniuliza nimeambiwa nini na mumewe nikamwambia jinsi ilivyokuwa. Kisha nikamuuliza imekuwaje huko hadi amenipigia akasema mume wake alikuwa na wasiwasi tu na mawasiliano yetu, basi nikamwambia kuanzia leo tusichati hayo mambo unayoyataka maana mi sitaki kuonekana naharibu ndoa yako maana hata home wakisikia itakuwa kitu mbaya akanielewa japo baada ya siku chache akaanza tena.
Akazoea sana kuniombaomba pesa nikawa nampa kila akiomba kwa sababu hakuwa akiomba pesa ndefu, nakumbuka pesa kubwa aliyowahi kuomba ni elfu6 tu. Kuna siku ambapo niliamua nisimpe ni siku aliponiomba akasema anataka akamnunulie mtoto wake begi la shule maana tayari mtoto wao alikuwa ameanza chekechea. Nikaona anaaza kuwa na mazoea mabaya kunitwisha mimi majukumu wakati baba mtoto yupo. Nikakausha nikajua atanuna ila haikuwa hivo, sikumpa na stori zetu ziliendelea Kama kawaida. Baada ya kuona yupo kawaida hata nisipompa pesa nikazoea kwamba siku zingine nampa siku zingine naMute.
Kuhusu kumchakata, mwanzo nilikuwa naichakata vizuri sana ile mbususu ila kila siku zinavoenda nikawa naumia sana moyo kuona nakula mke wa mtu. Ikawa hata nikiwa nae geto nakuwa sina amani kabisa hadi kupelekea game kuwa ya kiwango cha chini kiasi kwamba mi mwenyewe naliona hilo. Kufikia hapo vitu hivi viwili yaani kumpa pesa na kumchakata vyote vikawa hafifu. Kwenye mechi yetu huwa hatuna kabisa hofu kuhusu kufumaniwa kwa sababu mume wake ana wake wawili na wanakaa mikoa tofauti, pia huyu jamaa mishe zake ni za kusafiri...sasa huwa akisafiri ndo mke wake anapata nafasi ya kuja kwangu.
Najua kuna watu mtasema, "Uwe unatembea na kilainishi in case,; utanishukuru baadae". Ni kwamba hili jambo ni la umakini sana na mazingira tunayofanyia huu mgegedo ni magumu sana kwa mumewe kuyajua. Na pia huyu msichana yupo makini sana kufuta kila mawasiliano tunapoyafanya ila siku akija kusahau kufuta sijui itakuwaje.
Sasa kupitia huyu mwanamke nimegundua vitu hivi,
✓mwanamke hata umpe kila kitu atachepuka tu. Maana huyu show ninayompa ni mbovu kinoma kutokana na ile kukosa amani moyoni nikiwaza nakula mali ya watu na pia pesa nampa mara chache sana na si za kutosha ila bado mara kwa mara anakuja namkula.
✓Nawaza kwamba hata mimi nikija kuoa mke wangu atatafunwa na wengine tu kwa hiyo najikuta wazo la kuoa linakuwa na nguvu ndogo.
✓Jamaa mwenye huyu msichana kaseviwa vizuri kwenye simu jina la kimahaba na hata akipiga simu nikiwa karibu nasikia wanaongea vizuri tu ndio maana moyo unaniuma sana ninapokuwa namkula huyu msichana. Hapo nashindwa kuelewa huyu mwanamke anakosa nini kwa mumewe.
✓Nimejikuta sipendi kumnyandua huyu msichana ila kila akitaka kuja geto huwa nashindwa kabisa kumzuia. Shetani ana nguvu wazee
Nafanya dhambi ambayo nalazimika kuifanya maana mi sijawahi kumtaka aje ila ni yeye mara zote anataka kuja...Naogopa sana kuoa kwa sababu nahisi mke wangu anaweza kuwa kama huyu.
Nje ya point hiyo Jambo lingine linalonifanya niogope kuoa ni kwamba tangu nianze kujitegemea nimepanga na kuhama kwenye nyumba kama nne Ila zote nimeshuhudia wanawake wakiwanyanyasa wanaume. Sipendi kabisa kutawaliwa na mwanamke ila nikiona vile wanaume wanatawaliwa na wake zao najikuta nakata tamaa ya kuoa.
Yeye na mume wake pamoja na mtoto wao mmoja wanaishi pembeni kidogo ya mji, sasa siku moja akawa na safari ya kuja mjini ambapo mi naishi na ndo zilipo mishe zangu akahitaji tuonane. Nikamueleza sehemu ya kukutana ila ye akapendekeza tukutane ninapokaa. Kwa kuwa siku hiyo nilikuwa geto na kuna sehemu ambapo ilibidi niende kwa muda ule ikabidi nimwelekeze sehemu ya kutulia ili nikiwa narudi geto nimpitie lakini ye akasema anataka aje kwangu kisha niende ninapoenda ananisubiri kwangu. Nikakubaliana nae.
Nikamuelekeza ninapokaa akaja nikamwekea movie aangalie mi nikasepa. Baadae kurudi nikakuta mtoto wa watu amelala hana habari tena na movie. Alipoamka tukapiga stori kidogo time ikawa imeenda akawa anaaga ila cha kushangaza haondoki, nikamsoma anachokitaka ila mi nilikuwa namheshimu sana na kwa kweli nilishangaa kuona anataka tuivunje heshima yetu. Baada ya muda kidogo akaondoka.
Sasa kuanzia siku ile stori zake zikawa ni kama tumeshakuwa wapenzi. Mume wake anamjua bro wangu na huwa anawasiliana nae ila mi hanijui, siku moja asubuhi mapema sana akanipigia simu akajitambulisha kisha akaniuliza unamjua ( ) akataja jina la huyu msichana,. Kiukweli nilishtuka sana nikahisi ameziona zile texts zetu ila nikajikaza nikasema namjua.. Tukaongea kawaida tu na ile hofu ikanitoka.
Baadae yule msichana akanipigia akaniuliza nimeambiwa nini na mumewe nikamwambia jinsi ilivyokuwa. Kisha nikamuuliza imekuwaje huko hadi amenipigia akasema mume wake alikuwa na wasiwasi tu na mawasiliano yetu, basi nikamwambia kuanzia leo tusichati hayo mambo unayoyataka maana mi sitaki kuonekana naharibu ndoa yako maana hata home wakisikia itakuwa kitu mbaya akanielewa japo baada ya siku chache akaanza tena.
Akazoea sana kuniombaomba pesa nikawa nampa kila akiomba kwa sababu hakuwa akiomba pesa ndefu, nakumbuka pesa kubwa aliyowahi kuomba ni elfu6 tu. Kuna siku ambapo niliamua nisimpe ni siku aliponiomba akasema anataka akamnunulie mtoto wake begi la shule maana tayari mtoto wao alikuwa ameanza chekechea. Nikaona anaaza kuwa na mazoea mabaya kunitwisha mimi majukumu wakati baba mtoto yupo. Nikakausha nikajua atanuna ila haikuwa hivo, sikumpa na stori zetu ziliendelea Kama kawaida. Baada ya kuona yupo kawaida hata nisipompa pesa nikazoea kwamba siku zingine nampa siku zingine naMute.
Kuhusu kumchakata, mwanzo nilikuwa naichakata vizuri sana ile mbususu ila kila siku zinavoenda nikawa naumia sana moyo kuona nakula mke wa mtu. Ikawa hata nikiwa nae geto nakuwa sina amani kabisa hadi kupelekea game kuwa ya kiwango cha chini kiasi kwamba mi mwenyewe naliona hilo. Kufikia hapo vitu hivi viwili yaani kumpa pesa na kumchakata vyote vikawa hafifu. Kwenye mechi yetu huwa hatuna kabisa hofu kuhusu kufumaniwa kwa sababu mume wake ana wake wawili na wanakaa mikoa tofauti, pia huyu jamaa mishe zake ni za kusafiri...sasa huwa akisafiri ndo mke wake anapata nafasi ya kuja kwangu.
Najua kuna watu mtasema, "Uwe unatembea na kilainishi in case,; utanishukuru baadae". Ni kwamba hili jambo ni la umakini sana na mazingira tunayofanyia huu mgegedo ni magumu sana kwa mumewe kuyajua. Na pia huyu msichana yupo makini sana kufuta kila mawasiliano tunapoyafanya ila siku akija kusahau kufuta sijui itakuwaje.
Sasa kupitia huyu mwanamke nimegundua vitu hivi,
✓mwanamke hata umpe kila kitu atachepuka tu. Maana huyu show ninayompa ni mbovu kinoma kutokana na ile kukosa amani moyoni nikiwaza nakula mali ya watu na pia pesa nampa mara chache sana na si za kutosha ila bado mara kwa mara anakuja namkula.
✓Nawaza kwamba hata mimi nikija kuoa mke wangu atatafunwa na wengine tu kwa hiyo najikuta wazo la kuoa linakuwa na nguvu ndogo.
✓Jamaa mwenye huyu msichana kaseviwa vizuri kwenye simu jina la kimahaba na hata akipiga simu nikiwa karibu nasikia wanaongea vizuri tu ndio maana moyo unaniuma sana ninapokuwa namkula huyu msichana. Hapo nashindwa kuelewa huyu mwanamke anakosa nini kwa mumewe.
✓Nimejikuta sipendi kumnyandua huyu msichana ila kila akitaka kuja geto huwa nashindwa kabisa kumzuia. Shetani ana nguvu wazee
Nafanya dhambi ambayo nalazimika kuifanya maana mi sijawahi kumtaka aje ila ni yeye mara zote anataka kuja...Naogopa sana kuoa kwa sababu nahisi mke wangu anaweza kuwa kama huyu.
Nje ya point hiyo Jambo lingine linalonifanya niogope kuoa ni kwamba tangu nianze kujitegemea nimepanga na kuhama kwenye nyumba kama nne Ila zote nimeshuhudia wanawake wakiwanyanyasa wanaume. Sipendi kabisa kutawaliwa na mwanamke ila nikiona vile wanaume wanatawaliwa na wake zao najikuta nakata tamaa ya kuoa.