Kwanini mamba hamfanyii fujo Kiboko?

We ushaona lile domo la kiboko na ile mijino yake kama nondo? Ni mamba gani mwenye ujasiri wa kulisogelea lile domo KUBWAA lililojaa visu na mashoka?

Ni lidude kubwa lile sio la mchezo! Akifungua lile domo lake ana uwezo wa kummeza mamba mzima mzima!

Mamba wana utambuzi wa asili kwamba Kiboko ni kiboko kweli kweli... THEIR FEAR AND RESPECT TO HIPPOS IS PRINTED IN THEIR DNA.

Hawathubutu hata siku moja kumsogelea kiboko! Hata kwa bahati mbaya!
we jamaa ni comedian mzuri.
Happy New year
 
Mkuu, ni scientific proved fact kwamba kuonyesha meno kwa wanyama "Canines" ni njia moja ya kumuogopesha mwenziwe.

Wanyama madume, wenye Canines wanapotaka kupambana katika ama kuhodhi territory au kutafuta majike kwanza hukenua midomo na kuunguruma na wakati huohuo huwa wanaangaliana hizo Canines na ku detect ukubwa na hapo hupima uwezo wake dhidi ya huyo mpinzani wake kwa kuona tu ukubwa wa hizo canines.

Nilipata kuangalia Documentary moja miaka mingi (10yrs or so) juu ya maisha ya Simba na huyo mtaalamu wa simba aliongelea jambo hilo.

Kwa upande wa wanyama (the non canines) hapo kwakweli sina hakika.
In animal kingdoms ukubwa ndiyo kila kitu unampa mnyama advantage ya zaidi ya 50 percent meno au kucha au sumu vinamalizia 50 nyingine. Yaani ni kwamba nilivyokutajia tembo na ukaona hana meno yet ukubwa unambeba ilitakiwa ujue kwamba meno siyo sheria.

Mfano King Cobra anaweza dominate na kula nyoka wengine kwa ajili ya ukubwa wake siyo fangs wala venom.

Exception ni kama honeybadger ana umbo dogo lakini umbo lake na kucha na meno yake vinatosha kuward off potential predators.

Kwa kesi yetu hapa juu ya kiboko, kinachombeba ni ukubwa ndiyo maana kiboko mtoto hushambuliwa na mamba as hana ukubwa wa kumfanya awe threat kwa mamba.
 
Mfano King Cobra anaweza dominate na kula nyoka wengine kwa ajili ya ukubwa wake siyo fangs wala venom.

Exception ni kama honeybadger ana umbo dogo lakini umbo lake na kucha na meno yake vinatosha kuward off potential predators.


Sasa hapa huoni unajipinga wewe mwenyewe??!!.

King cobra ni mdogo kuliko Anaconda lakini King cobra anammeza Anaconda. Sasa ukubwa wa Anaconda umemsaidia nini mbele ya sumu nusu lita ya King cobra??, Honey Badger naye mbona Simba, sometimes, wanamkimbia licha ya udogo wake?!!

Juu ya yote meno nayo ni factor to reckon with coming in the issue of animal formidability.
 
Sasa hapa huoni unajipinga wewe mwenyewe??!!.

King cobra ni mdogo kuliko Anaconda lakini King cobra anammeza Anaconda. Sasa ukubwa wa Anaconda umemsaidia nini mbele ya sumu nusu lita ya King cobra??, Honey Badger naye mbona Simba, sometimes, wanamkimbia licha ya udogo wake?!!

Juu ya yote meno nayo ni factor to reckon with coming in the issue of animal formidability.
Umesema najipinga ila chini umekubaliana na mimi kwamba meno siyo kila kitu na ndicho nilichokua namaanisha hapa.

Pia king cobra hawezi mla anaconda in fact hawezi mmeza hata chatu. Anaweza kula fellow king cobra
 
Sasa hapa huoni unajipinga wewe mwenyewe??!!.

King cobra ni mdogo kuliko Anaconda lakini King cobra anammeza Anaconda. Sasa ukubwa wa Anaconda umemsaidia nini mbele ya sumu nusu lita ya King cobra??, Honey Badger naye mbona Simba, sometimes, wanamkimbia licha ya udogo wake?!!

Juu ya yote meno nayo ni factor to reckon with coming in the issue of animal formidability.
SIMBa wanamkimbia honeyb just for fun simba aliyekuwa stressed anakafinya

Ukubwa kilakitu angalia wanyama wote wala nyama ubabe wa mmoja kwa mwengine ni mwili duma boya kwa leopard Leo boya kwa simba simba kwa tiger near the same
 
Mamba hula kiboko. Ikitokea kiboko mtoto ameachwa na wakubwa zake kuna chansi kubwa ya kushambuliwa na mamba.

Pia kiboko mwenye majeraha, anayeelekea umauti au mzoga tayari naye huweza kuliwa na mamba.

Ingawa kiboko anakula nyasi ila ana psi kubwa, meno na mdomo unaotanuka enough kumjeruhi mamba.
Kwa hiyo kwa maelezo haya kinachomzuia mamba kumla kiboko ni uoga wa kumuogopa kiboko aliyekamilika kwa sababu ya uwezo wake wa nguvu na hakuna kingine
 
Kwa sababu mamba na ujanja wake wote ule...kwa kiboko yeye ni shoga tu sawa na mwanamme wa Dar akikutana na rijali la Mkoani
Teh teh teh 🤣🤣🤣..dah!..hii mpya ya huu mwaka haaa haaa haaa 😃😃😃....ila wabongo bhana...teh teh teh..
 
Mamba hula kiboko. Ikitokea kiboko mtoto ameachwa na wakubwa zake kuna chansi kubwa ya kushambuliwa na mamba.

Pia kiboko mwenye majeraha, anayeelekea umauti au mzoga tayari naye huweza kuliwa na mamba.

Ingawa kiboko anakula nyasi ila ana psi kubwa, meno na mdomo unaotanuka enough kumjeruhi mamba.

Kwenye mto uliojaa mamba na viboko,ilitokea attempt ya mamba kumla mtoto wa kiboko akaishia kumjeruhi vibaya.Walichofanya viboko kulipiza kisasi maji ya mto yaligeuka damu.Mamba mmoja alipigwa jino la maana akawa vipande.Jino la kiboko ni refu kama mpini wa jembe
 
Back
Top Bottom