Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Hivi baba wa taifa alikuwa Rais na wakati huo huo mwenyekiti wa chama cha chadema?
KICHEFUCHEFU kitawatapisha
picha ya rais haiwezi kuwekwa kwenye ofisi ya wahuni na watu wanaohamasisha uvunjifu wa amani ya nchi,
Kwahiyo Bar ni sehemu ya matahira?We wa wapi wewe !!!?Mi **** mingine bana!kumbe ni bar,me nilidhan ni sehemu yenye watu wenye akili timamu?
picha ya rais haiwezi kuwekwa kwenye ofisi ya wahuni na watu wanaohamasisha uvunjifu wa amani ya nchi,
Hivi baba wa taifa alikuwa Rais na wakati huo huo mwenyekiti wa chama cha chadema?
Pumba! Kwani makao makuu ya ccm kuna picha ya Mwenyekiti wa Chadema? Yule ni Mwenyekiti wa CCM!
picha hiyo unayoisema ipo kwenye WC za ofisi, sasa kama hukwenda chooni utaionaje??
mleta maana una lako jambo Mbona hausemi lolote juu vyama vingine
Ukisikia ujinga na umbumbu ndiyo huu!
picha ya rais haiwezi kuwekwa kwenye ofisi ya wahuni na watu wanaohamasisha uvunjifu wa amani ya nchi,
utawekaje picha ya mwenyekiti wa chama kingine tena cha mafisadi kwenye ofisi ya chama chako!!!!!!!!!Great Thinkers..
Siku za karibuni nilipata nafasi ya kutembelea Makao Makuu ya Chadema, Kinondoni Mtaa wa Ufipa.
Kitu cha kushangaza kama kawaida za ofisi kuna picha mbili ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere na Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete.
Ofisi za Chadema hakuna picha ya Rais Kikwete, kuna picha ya Nyerere tu.
Chadema, Rais Kikwete ni Rais wa Tanzania wekeni picha ya Rais ukutani ndani ya ofisi zenu
utawekaje picha ya mwenyekiti wa chama kingine tena cha mafisadi kwenye ofisi ya chama chako!!!!!!!!!