Kwanini Makamu wa Rais hasemi "Bwana Asifiwe"?

Kwanini Makamu wa Rais hasemi "Bwana Asifiwe"?

Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?
Haya mambo ya Dini ukiwaza sana unaweza ukajikuta unapotea zaidi, hayahitaji complications sana ki hivyo.

Hizi salamu ni lugha tu imebadilika, lakini ukute hata hazina impact kihivyo. Mfano Asaalm Alaykum ni kiarabu ambacho tafsiri yake kiswahili ni "Nakusalimu". Kwa hiyo hata Mkristo ukisema Asalam Alaykum unakua umesema Nakusalimu ila tu katika Lugha ya Kiarabu (Sio Kiislam) .

Au mfano salam kama "Bwana Yesu Asifiwe", kama Muislam unaamini kua katika Binadamu Waliotumwa (Mitume) na Mungu kuja kueneza dini yake na Yesu pia Yumo basi hakuna shida akipewa sifa, sawa tu akipewa sifa Mussa, Daudi, etc. Yaan Mungu alitutumia wanadamu Mitume Mbalimbali hivyo kusema fulani kati ya hao apewe sifa sio kosa au tatizo.
 
Hata ulichouliza mimi sikielewi maana umejaza mihemko yako. Wapi nilipowadharau wakristo?
Soma ulichokiandika hapo mwanzoni ndo utaelewa nilichokujibu. Umeonekana kuwadhalau wanao salimia kwa itikadi ya imani zote, ila wanaosalimia kwa itikadi ya imani moja unawaunga mkono.
 
Kwa nini anatumia lugha ya kiarabu kwa watu wanaotumia lugha ya kiswahili na lugha zao nyingine za asili?

Hilo nalo neno.
licha ya kuwa hakuna hard and fast rule ambayo inamlazimish atumie maamkizi fulani. Inategemea utashi wa kiongozi.
 
Mi nikija kuwa mwanasiasa nitasalimia "kibiblia" "Amani iwe Nanyi" badala ya kiarabu "Assalaam Alaykum" au kilokole "Bwana Asifiwe" au "Tumsifu Yesu Kristo".
 
Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?
Ubaguzi unamsumbua tu hakuna kingine.Japo pia hajavunja sheria yoyote ya nchi.
 
Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?
Huyo sio mnafiki kama wengine.
Anatoa salamu kwa watu wote.
Asalaam Aleykum sio salamu ya Kiislamu, ni maneno kwa lugha ya kiarabu ikimaanisha Amani iwe kwenu.
Inakuwaje muumini wa Kiislamu ambaye hamtambui Yesu kama Bwana, halafu anasimama na kusema Bwana Yesu Asifiwe, huo si unafiki?
 
Soma ulichokiandika hapo mwanzoni ndo utaelewa nilichokujibu. Umeonekana kuwadhalau wanao salimia kwa itikadi ya imani zote, ila wanaosalimia kwa itikadi ya imani moja unawaunga mkono.

Sasa kama imani ni tofaut alafu ukataka kujifanya huzitofautishi c ni unafiq?
 
Hii tabia imeanza sana siku za karibuni na sio katika majukwaa ya siasa tu sehemu nyingi lakini haitakiwi kabisa. Mtu unatakiwa unaanza kama kisiasa, Ndugu waheshimiwa, wageni waalikwa kama kuwataja majina itifaki inafuata hakuna salamu yenye milengo ya kidini. kuna njia nyingi za kuanza hotuba na inategemea ni wapi, siasa, harusi au kazini bila kutumia hizi salamu mbili Asalaam alaykum au bwana yesu asifiwe japo hazina maana mbaya. "Salaam alaykum" ni salamu kwa waislamu ya kila siku katika maisha ya kawaida yaani amani juu yenu ila mimi sijawahi kuwasikia mkristo kapita mtaani kwa mkristo mwenzake akamsalimia "Bwana Yesu asifiwe". sijui labda wanasalimiana hivyo. Hoja hapa hizi salamu zote hazitakiwi kutumika katika hadhara ya watu mchanganyiko. ila kama ni waislamu tu au wakristu katika mikutano yao tu au sehemu zao za ibada ni sawa hakuna shida.
 
Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?
Yuko sahihi. Kwa vile serikali haina dini haipaswi kuingiza mambo yoyote yenye viashiria ya kidini kama " Tumsifu Yesu Kristu". Asalaam Aleykhum ni salaam ya kiarabu inayomaanisha " amani iwe nawe" na haina uhusiano na dini ya kiislamu.

Amandla...
 
Mambo madogo sana hayo ni salamu gani inakuza uchumi iwe inatumika?
 
Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?

Why do you it is important in the political platform?
 
Yuko sahihi. Kwa vile serikali haina dini haipaswi kuingiza mambo yoyote yenye viashiria ya kidini kama " Tumsifu Yesu Kristu". Asalaam Aleykhum ni salaam ya kiarabu inayomaanisha " amani iwe nawe" na haina uhusiano na dini ya kiislamu.

Amandla...

Hakuna sheria inayomlazimisha asalimie kwa namna gani. By the way, does it matter kwenye ulimwengu wa siasa?
 
Acha ushamba, Asalaam alaykm si salama ya kiislam na wala haitaji uislam popote na haina uhusiano na dini ya mtu. Ni maneno ya kiarabu yenye maana ya "Amani iwe juu yenu". Haya Yesu alitumia sana neno "Amani iwe nanyi".

Ni maneno ya kawaida ambayo waislam hupenda kutumia, hii salamu hata mkristo anaweza kutumia tu acheni kuchanganywa na lugha. Sasa ukiwambi watu amani iwe juu yenu salamu ziingine za nini?
Ukiona mtu anasalimia salamu 3 hata 4 ujue ni ushamba tu maana ni moja.
 
Tuna dini za imani nyingi sana ikiwepo wapagani, ukiamua kutoa salam kwa kuzingatia dini au imani flani, fanya hivyo kwa imani zote kitu ambacho hakiwezekani.

Ingekua amri yangu salam za dini au zenye kuashiria imani flani zisingekuwepo kabisa kwenye hafla za kiserikali, hasa kama tukio halina maudhui ya kiimani.

Hata hivyo hakuapa kulinda salam za kiimani.

Tuna dini za imani nyingi sana ikiwepo wapagani, ukiamua kutoa salam kwa kuzingatia dini au imani flani, fanya hivyo kwa imani zote kitu ambacho hakiwezekani.

Ingekua amri yangu salam za dini au zenye kuashiria imani flani zisingekuwepo kabisa kwenye hafla za kiserikali, hasa kama tukio halina maudhui ya kiimani.

Hata hivyo hakuapa kulinda salam za kiimani.
Hivi unaelewa maana ya neno asalaam aleykum?
 
A'salaam Alaykum, ni salamu RASMI ya kiislamu iliyofundishwa na Mwenyezi Mungu kupitia kwa Mtume wake Muhammad.... Kikristo salamu RASMI aliyofundisha Mtume wao Yesu ni Amani iwe kwenu/nanyi (japo kwa lugha aliyokuwa akizungumza yeye, kiebrania au kiyahudi)

Hizi nyingine za bwana yesu asifiwe au tumsifu yesu kristo zinawezaje kuitwa kuwa ni salamu kuwasalimia watu? Zimefundishwa na Mtume yupi salamu hizo? Seriously Hivi ukiambiwa msifie fulani inawezaje kuwa hiyo ni salamu kwa watu? Kuwa na akili ni jambo moja ila kutumia akili ni jambo jingine.
Wakristo hawana mtume anayeitwa Yesu. Acha kulazimisha vitu
 
Wakuu, heshima kwenu!

Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk

Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.

Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.

Hii inajenga picha gani, wakuu?
Hiyo bwana asifiwe ya kwenye siasa ni sawa na kusema Mungu oyeee!
 
Back
Top Bottom