Acha upotoshajiSi M'BAGUZI tu, bali ni M'DINI pia!
Anaona akitoa hizo salamu ambazo wengi wa kutoka Dini yake, wanaona ni salamu zetu sisi watuitao MAKAFIRI, atakuwa AMETUINUA JUUUUU!
Acha upotoshajiSi M'BAGUZI tu, bali ni M'DINI pia!
Anaona akitoa hizo salamu ambazo wengi wa kutoka Dini yake, wanaona ni salamu zetu sisi watuitao MAKAFIRI, atakuwa AMETUINUA JUUUUU!
Hiyo ndiyo salami ya imani yake. Nawe, au hao wengine uliowatolea mifano muwe mnasalimia kwa kadri mnavyopenda. Sio lesi
Haina maana yeyote kwa maendeleo Ya taifaWakuu, heshima kwenu!
Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk
Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.
Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.
Hii inajenga picha gani, wakuu?
Mind you, I hold a Masters degreeMsimpe sifa asiyo stahiki. FaizaFoxy na mapungufu yake yote huwa habishi ili mradi anabisha. Hutoa facts. Ila hiki ki CCM wanna be huwa kinatoaga majibu kama uharo, bila kufirkiri wala kuwaza. Yani kanabwatuka tu.
Sasa kweli kabisa mtu na akili zake timamu anaweza hoji kwanini muislamu hatoi salamu ya kikristo.
Huu uzi uwe ndio hitimisho kwa wote kuwa huyu binti (yaweza kuwa ni kivulana pia) huwa hajui asemalo siku zote.
Your reply has just summed up all my assumptions of you. You might be 'holding' a master's degree but be entirely shallow minded, as you are.Mind you, I hold a Masters degree
Wakuu, heshima kwenu!
Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk
Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.
Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.
Hii inajenga picha gani, wakuu?
Hapo cha msingi siku akihudhuria hafla fulani, na wewe hudhuria huku ukiwa na dela lako la CCM na kapelo au kilemba chenye picha ya Rais wako Magufuli!
Halafu jitahidi kujipenyeza mpaka mbele kabisa aliko! Wakati akianza tu kusalimia, kimbia 💃 kwa spidi ya swala na kwenda kumnasa kibao usoni! Hakika baada ya hapo, hatokuja arudie tena kuto kutamka hizo salamu unazo zipenda wewe.
Hapo cha msingi siku akihudhuria hafla fulani, na wewe hudhuria huku ukiwa na dela lako la CCM na kapelo au kilemba chenye picha ya Rais wako Magufuli!
Halafu jitahidi kujipenyeza mpaka mbele kabisa aliko! Wakati akianza tu kusalimia, kimbia 💃 kwa spidi ya swala na kwenda kumnasa kibao usoni! Hakika baada ya hapo, hatokuja arudie tena kuto kutamka hizo salamu unazo zipenda wewe.
Soma kwa makini comment yangu,hayo ni maswali acha kua na akili inayorudi nyuma.We umegundua hata dawa ya kuua sisimizi?
Masters Third Class? Sijawahi ona umejenga hoja yoyote ya maana ya kisomi tokea uanze kuchangia.Mind you, I hold a Masters degree
Labda swali kidogo,
Bwana yupi huyo ambaye makamu wa rais hamsemi?
Lakini pia, hata hivyo Asalam Aleykum siyo ya kiislam, ni salam ya lugha ya kiarabu.
Unaweza ukawa umesoma ila ukawa hujaelimika,elimu yako imeshindwa kukukomboa kifikra.Mind you, I hold a Masters degree
Kwahiyo unawadhalau wakristo wanaotumia hizo salaam?? Inamaana wakristo wanao salimia kiislam kwenye halaiki ya uma unawaona hawana akili?? Ila unawatetea wanaotumia salamu moja ya kiima na huku halaiki ni ya wanadini zote? Kama nikweli anatumia salamu moja ni vyema na yeye atumie salamu zote au kama anaona hawezi basi asisalimie kwa imani ya dini yoyote.
Naona hukusoma na kuilewa comment yangu mkuuMsimpe sifa asiyo stahiki. FaizaFoxy na mapungufu yake yote huwa habishi ili mradi anabisha. Hutoa facts. Ila hiki ki CCM wanna be huwa kinatoaga majibu kama uharo, bila kufirkiri wala kuwaza. Yani kanabwatuka tu.
Sasa kweli kabisa mtu na akili zake timamu anaweza hoji kwanini muislamu hatoi salamu ya kikristo.
Huu uzi uwe ndio hitimisho kwa wote kuwa huyu binti (yaweza kuwa ni kivulana pia) huwa hajui asemalo siku zote.
Siyo mnafiki kama MATAGA wengine!Wakuu, heshima kwenu!
Ukifuatilia hafla nyingi za awamu hii ya 5, viongozi wamejijengea tabia ya kuanza hotuba zao kwa kutoa salamu kuu za kidini kama "Asalaam Aleiykum", " Tumsifu Yesu Kristo", "Bwana Yesu Asifiwe" nk
Imekuwa hivi sana kwa Mh. Rais Magufuli, Waziri Mkuu na pia kwa mawaziri na viongozi wengi wa juu.
Lakini hali ni tofauti kwa Makamu wa Rais, mama Samia. Ukifuatilia ufunguzi wa hotuba zake, huishia tu kusema "Asalaam Aleykum". Hasemi zile salamu nyingine za Wakristo.
Hii inajenga picha gani, wakuu?
Maelezo yako yamejitosheleza[emoji120]Tuna dini za imani nyingi sana ikiwepo wapagani, ukiamua kutoa salam kwa kuzingatia dini au imani flani, fanya hivyo kwa imani zote kitu ambacho hakiwezekani.
Ingekya amri yangu salam za dini au zenye kuashiria imani zisingekuwepo kabisa hasa kama tukio halina maudhui ya kiimani.
Hata hivyo hakuapa kulinda salam za kiimani.