Kiongozi Miongoni
Senior Member
- Feb 6, 2021
- 197
- 255
Ristam
'pisikali' zinaenda kupiga picha kupost insta😄Imagine mtu anaenda mlimani city pale games kushangaa tu hanunui hata tooth pick. Kweli watatoboa kweli hao wenye supermarket?
Wabongo wamezoea kununua vitu kwa Mangi tena kwa kukopa. Mambo ya Games, Shoprite, Nakumatt au Uchumi watayaweza wapi?
KomaKwani mamako huyu hajafungulia nchi?
Kodi ndio kikwazo watu hawawezi kumudu hizo kodi zinazowekwa kwenye bidhaa ukute Tv Lg SA inatoka kwa gharama ndogo ikifika Tanzania kodi ya Tv inafika 100 usd na zingine ni zaidi wakati wenzetu Simu na Laptop zimewekwa sehemu ya kutoa Elimu huku kwetu ni anasa inachapwa kodi bidhaa za watoto chini ya miaka mitano hazina kodi SA wakati Tanzania mpaka bidhaa ambazo mtoto yupo tumboni zinachapwa kodi na pia Watanzania wanaogopa Electronics mpya kwa sababu ya bei iliyochanganyikana na kodi kubwa mbona Lusaka hapo Game wanapiga kazi na hao Shoprite kwa sababu wenzetu wanachapa kodi ila zile favourable sio za kuumizana kama Tanzania na haya makampuni hayataki ujanja ujanja..
🚮🚮Kwani mama hajafungua nchi?
Kila nyumba ina kaframe nje.. nani ataenda Supermarket?
Nchi nyingi watu wanaenda fanya shopping sehemu rasmi za biashara kwa ajili ya wiki au mwezi, wanahifadhi. Kwetu, unatumwa chumvi kwa mangi mboga ipo dukani.
Familia nzima inahamia mule kwenda kupiga kiyoyozi siku nzima kupata relief ya joto la Dar bila kununua hata pipi! Lazima wafungashe.
Sipati picha ingekuwa kipindi kile akiwepo jeshi la mtu mmoja matusi yangekuwaje kutokana na kufungwa hii biashara.
Kila nyumba kuna frem hio ndio culture yetu
Ila ndiyo ukweli huo comradeWewe mataga tumekuchoka na taarabu za mwendazake, mfuate huko alipo kama unaumia sana.
Tanzania haina unique culture wala ñini, ukweli ni kwamba tangu serikali ya awamu ya nne nchi ilianza kurudi kwenye ujima.Hii nchi ina culture fulani very unique duniani. Always deviate from normal.
Ndio Shida ya watanzania mkuu, kazi ya kukandia kwetuMakampuni mengine yanaondoka east africa lakin mnapokuja kuanzisha thread mnaizungumzia Tanzania pekee
Bongo labda uuze bia/vyakula au bidhaa zinazohusiana na magari-spea au mafuta. Vinginevyo Lazima ufunge biashara.Gharama za uendeshaji mkuu.....umeme ghali halafu haupatikani, maji ya shida pamoja na wizi....wabongo wapigaji sana....halafu pia purchasing power iko chini sana....watanzania wachache sana ambao wanaweza fanya shopping pale...