Tumezidi kuaminika kila iitwapo leo.
Wewe Mzazi au Mlezi amma Mwanafunzi usipate shida wewe tuambie upo wapi na Unataka Laptop au Desk top aina gani ??
Usiwaze kwamba tunafanya kazi kulingana na idadi.
Sisi tunafanya kazi kwa wote.
★ ★★★ ★★★★★★★★★★★★★★★★★★ OFA OFA OFA OFA...
Mwaka jana, June 2023, wakati waziri wa mambo ya nje akiwa Dr Tax, serikali ilitoa hili tamko pale Bungeni
Leo April 2024, serikali imetoa tena tamko hilo hilo pale pale Bungeni mbunge wa viti maalumu Suma Fyandomo alipouliza swali kuhusu uraia pacha.
Sasa nakumbuka tumekuwa na matamko kama...
Habari,
Nauza foil jumla na rejareja
Foil ndogo zenye urefu wa mita 61.93 na sqft 200
Foil kwa bei ya jumla ni 90k zinakaa 10.
Bei ya rejareja ni elf 10 kwa pc moja.
Tupo Ubungo external karibu na ofisi za TMDA.
0696101524
0712650241
Habari wanajamii
Nauza foil za kufungua chips na nyama kwa bei ya jumla na rejareja.
Jumla ni 90k zinakaa 10
Rejareja ni 10k kwa pcs moja.
Nakuletea popote ulipo ndani ya dar Bure.
Kwa maeneo ya Ubungo, mwenge, kawe,Bunju na Tegeta nakuletea hata pcs moja popote ulipo bure.
Foil ndogo ndiyo...
Jana nimekutana na tukio la kushangaza sana kwenye duka la rejareja la Mhindi maeneo ya Posta mpya mtaa wa Zanaki. Ni hivi nilikuwa nilitokea kwenye jengo la Haidery Plaza baada ya kushuka chini nikawa naelekea maeneo ya Chuo cha Biashara (CBE).
Nikawa napita ule mtaa wa Zanaki maeneo yale...
Huu ni uzi maalumu wa kuelezea changamoto wanazopitia wafanyabiashara wa Maduka ya Rejareja almaarufu "Maduka ya Mangi".
Kama una Changamoto yoyote unayopitia andika hapa, hata kama wateja wanakukosea pia ongea hapa.
Asante.
Habari.
Imekua mchezo wenu uliozoeleka siku hizi. Kila nikiweka airtime kabla sijaunga kifurushi lazima mukate kiasi, hali hii inafanya nishindwe kujiunga na package niliyokusudia hadi niongeze airtime nyingine.
Nikiwapigia mnasema mara nimejiunga na huduma gani sijui, wakati mimi sijawahi...
Wanajamvi wakati tunaendelea kumuona Makonda akiendelea kuuwasha moto na kuendelea kuwa man of the match kuna kitu nimekibaini....!
Maduka mengi ya jumla(wholesale) hapa wilaya ya Bunda yananyonya sana wafanyabiashara wadogo wadogo(wa rejareja),ila mbinu wanayotumia ni kali sana...
Twende kwenye mada. Kuna dharau za waziwazi na kuna dharau zilizojificha. Tusaidiane kugundua dharau zikizojificha.
1. Ukiona mtu anakusifia sana mbele za watu jua anakudharau. Mtu mwenye heshima zake huona haya akisiwa mbele za watu. Sasa mtu akikusifia bila kujali hilo fahamu kuwa...
Ndugu zangu wana JF karibu amiry outfitstores tunauza viatu na handbags za kike kwa bei ya jumla na rejareja..tupo kariakoo mtaa wa agrey na msimbaz ..jengo la CANAAN COMPLEX..karibun sana kwa mawasiliano ni 0626817740..naomben support yenu wana JF ..asanten sana
Hello wana JF,
Karibuni ofisini kwetu kariakoo mtaa wa agrey na msimbazi jengo la canaan complex ujipatie handbags nzuri na za kisasa wa wadada na wamama kwa bei ya jumla na rejareja.
Kwa mawasiliano ni 0626817740
Karibuni sana wana JF naomben sana support yenu
Katika siku za hivi karibuni, Tanzania imeshuhudia maduka makubwa kadhaa yakifungwa, huku la hivi punde zaidi katika orodha likiwa ni Game Stores, ambalo kufungwa kwake kutaathiri vibaya zaidi ya kazi 100 za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja. Kuondoka kwa Game kunaikumbusha nchi ya...
Tunauza sabuni za magadi kutoka Kigoma kwa bei ya jumla na rejareja.
Tsh 29,000 Ukichukua carton zaidi ya 25 ni, na Tsh 30,000 kwa carton 1-25.
Tunapatikana Kinyerezi Mwisho, Dar es Salaam. Tunafanya delivery ndani na nje ya Dar es Salaam.
Unapochukua carton 100 au zaidi utaletewa sabuni...
Ishini sana, Tabu sio jambo jema lakini hatuna budi kuzipitia.
Kuna kibanda nimekiotea kipo soko la mtaani, hilo soko halina watu wengi saana ila pilika pilika zipo kimtindo pamoja na makazi ya watu sio uswahilini sana sio ushuani sana ni changanyikeni flani hiv nataka niweke kambi hapo...
Hapa ieleweke si Ile hali ya kuvamiwa, ni umekaa amepora amesepa, na akikulia timing anakuumiza.
Si ishu tu ya uhitaji wa sungusungu akili zichanganywe katika level ya kufikir nje ya box.
Wengi hawajui level of crimes, baadhi ya nchi ulimwenguni hakukaliki kutokana kiwango kilichopitiliza...
Habari wana jamvi,
Ndugu zangu naombeni ushauri kuhusu biashara ya kuuza sigara jumla na rejareja, pipi Kali, big G n.k. changamoto zake, mtaji upi ni mzuri, na kwa dar wapi naweza pata mzigo kwa uhakika na njia zipi ni bora za kupata wateja wa hivi vitu.
Mafundi wa Wizara ya Afya wanaidai kata ya Ipera kiasi cha Tsh. 16,900,000 baada ya kujenga kichoma taka yaani "Medical waste incinerator" Katika Kituo cha afya Ipera.
Kituo hiki kipo Kata ya Ipera wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma.
Kwa mujibu wa maelezo ya Diwani wa kata ya Ipera Mh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.