Kwanini Magufuli aliwakumbatia Machinga?

Huu ndio ukweli kabisa 100%

Yeah Mkuu ndio maana alikuwa anawapiga za chembe matajiri ili uchumi udorore masikini waongezeke wakimbilie kwenye umachinga kisha aendelee kuwabeba fanya biashara sehemu yeyote hata katikati ya barabara poa tu ,lengo aongeze mtaji wake.
 
Mtasema sana lakini JPM alianza kujenga taifa la Raia wanaojiamini. Wasio wa kulia lia na ku-dream misaada tu!
 
Wanabodi,

Hebu tujuzane hapa sababu zilizopelekea Rais wa awamu ya 5 hayati Magufuli kuwalinda Wamachinga hata kwa kutengua teuzi zake mbalimbali.

Je, sababu hizo zina msingi wowote au ni huruma zake tu?

Naomba tuelimishane hapa pls

Kiongozi yoyote mwoga hukumbatia kundi la wajinga ili wamlinde

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Napenda wasomi waliosoma na kuelewa na sio walokaririshwa mitazamo ya wengine humu wengine naona NI wasomi waliokariri hawakuelewa
 
Easier than the Alternative....

Endelea kulea tatizo miaka kumi ikiisha hilo ni tatizo la mwingine, kuliko kutatua tatizo ambalo huenda utatuzi ukachukua muda na kuja kutengemaa huenda ushaondoka, lakini maumivu na lawama zikabaki kwako...

Moral of the Story; Tatizo hili ni vigumu kutatuliwa na wanasiasa
1f44a.png
😅 😅 😅 😅 😅 💥 🎯
 
... in brief ni "usanii wa wanasiasa". Actually, kilichopelekea kufanya hivyo kwanza ni kwa sababu kulikuwa na walakini mkubwa uchaguzi wa 2015 so, ili kujaribu kutafuta support of the mass, machinga ilikuwa kimbilio la kwanza.

Pili, Lowasa kupanda dalala kwenye kampeni za mwaka ule kwa CCM ilionekana kama inapoteza ushawishi kwa watu wa chini, so the best option kwa CCM kujionesha bado kipo na watu wa chini na sio chama cha matajiri na viongozi kama ambavyo ilikuwa inaonekana machoni pa umma, ni lazima hadaa za kila namna ilikuwa zifanyike kujaribu kuboresha "image ya chama" na kimbilio again ilikuwa machinga, bodaboda, na makundi ya aina hiyo.

Nirudie tena, zote hizo zilikuwa hadaa tu ili kupata support ya kisiasa bila kujali athari za approach hizo! Matokeo yake umaskini umezidi kuongezeka nchini kwa kiwango cha kutisha, gharama za maisha usiombe, miji imekuwa shaghalabagala, diplomasia imevugwa kwa kwango ambacho hakikuwahi kufikiriwa, just to mention few.
Ulichoandika ni ujinga kwa hiyo ulitaka awapige rungu eti kama siku zote uzuri hakufanya hicho

Acha uzuzu huyo jamaa alikuwa kiongozi
 
Sawa nakubali wamebomolewa lakin Tanzania/ Dar usiilinganishe na Uingereza/London hapa , Hapa anachofanya Samia just short solution for the very long coming more problems , Vijana wengi hawako na ajira especially hao graduates ipo siku atatamani kuwarudisha wamachinga kwenye maisha yao ya kawaida, labda kwa kuwa CCM haitegemei kura za wananchi powa
Waende kwenye hayo maeneo waliyoandaliwa. Huwez kujenga kibanda Juu ya mtaro ama kufunga Barabara ya waenda kwa miguu kwa kisingizio Cha ajira
 
Machinga ni mtego mbaya wa kisiasa.

Rais atapata tabu kuendesha serikali yake.

Hawa watu ni wengi sana kuliko wenye ajira na biashara rasmi na wana wategemezi.

Kuna hitajika busara kukaa nao.
Wingi wao utawanyima CCM kubaki madarakani?
 
Back
Top Bottom