King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,979
- 69,342
Huu ndio ukweli kabisa 100%
Yeah Mkuu ndio maana alikuwa anawapiga za chembe matajiri ili uchumi udorore masikini waongezeke wakimbilie kwenye umachinga kisha aendelee kuwabeba fanya biashara sehemu yeyote hata katikati ya barabara poa tu ,lengo aongeze mtaji wake.