Ablessed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 4,616
- 3,499
hahahahahahahah sasa ndio umwache mkeo mita kibao nyuma utadhani hamko safari moja . Ngoja waje wakupe za uso hawaHongera mwaya watu8 kwa moyo wa ujasiri na usio na chembe ya woga ila mie bado na-pepesa pepesa macho.
Si unajua nimewatupia nyavu wakina Mamndenyi, Ablessed, Heaven on earth na Paloma.
Hivyo wakioniona kila kona naongozana na mamsapu wangu watafunga ule mlango wa neema ambao nilikuwa natarajia kuupata siku chache zijazo.
cc Mamdenyi Heaven on earth Paloma
Last edited by a moderator: