Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
nimekumis Kaizer mbona hujaja tena? Au bado unaziba mashimo ya panya kwa mkate?
Tena ngoja nije tuongozane kabisa daktari wangu Lady doctor
Last edited by a moderator:
nimekumis Kaizer mbona hujaja tena? Au bado unaziba mashimo ya panya kwa mkate?
Umeona eh? Hawajuia hata ukienda msalani mie mguu na njia mpaka kukufungia mlango wa msala, nakusubiri ukimaliza nakuchambisha. Chezeya malovee wewe?
Haina kwere mkuu... Ntakucheki kwa wikendi (jumamosi to be specific) ili tule japo tuchips na tukuku twa kienyejiAisee mi hapana kujua. Nitafutane kwa voda, tigo ilibuma. Pole kwa maswahibu swahiba, alinifahamisha kijana wa bakery. Bahati mbaya nimepoteza namba zako. Mabaamedi washenzi sana, wanajifanya wanafuta meza baada ya kufakamia mdudu kumbe wanachanganya na simu zetu.
Tutafutane mkuu tufarijiane mbele ya Black Label.
Haina kwere mkuu... Ntakucheki kwa wikendi (jumamosi to be specific) ili tule japo tuchips na tukuku twa kienyeji
Hahahahahahaah we ushakoga? Fanya hima kapumzike bana, najua safari imekuchosha....mmmh...!!!!!! Nasikia harufu mbaya sana hapa