Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,145
- 27,121
Huwa sielewi kwanini watu huwa wanakuwa na hasira na wivu na watu wenye magari, wakati kuna miongoni mwao wanatakiwa kuonewa huruma tu, mana wapo ambao gari zinawatesa.
Majuzi hapa kuna mtu alileta uzi kwamba katapikiwa na mrembo kwenye gari, basi raia kibao wakamshukia kama mwewe .
Huku mtaani ndio hatari maana wanaamini kila gari ni ya mkopo, utasikia gari yenyewe ya mkopo, unabaki unacheka tu.
Wengine wakiona mwanamke anadrive wanaamini kahongwa, kuna jamaa nimewahi kaa nae nyumba moja, alikuwa haamini kabisa kama mwanamke anaweza nunua gari kwa hela zake.
Hivi kwanini tunakuwa na mindset za namna hiyo, tena mpka humu JF wamejaa kibao, lisitajwe gari mahali utasikia "tushajua unamiliki gari".
Majuzi hapa kuna mtu alileta uzi kwamba katapikiwa na mrembo kwenye gari, basi raia kibao wakamshukia kama mwewe .
Huku mtaani ndio hatari maana wanaamini kila gari ni ya mkopo, utasikia gari yenyewe ya mkopo, unabaki unacheka tu.
Wengine wakiona mwanamke anadrive wanaamini kahongwa, kuna jamaa nimewahi kaa nae nyumba moja, alikuwa haamini kabisa kama mwanamke anaweza nunua gari kwa hela zake.
Hivi kwanini tunakuwa na mindset za namna hiyo, tena mpka humu JF wamejaa kibao, lisitajwe gari mahali utasikia "tushajua unamiliki gari".