Kwanini kuna vita baridi kati ya taasisi za serikali na sekta binafsi?

Schengen

JF-Expert Member
Mar 24, 2024
254
435
Amani iwe nanyi nyote.
Kuna jambo moja naliona na si kuona tu
Kila mwenye Biashara analalamika
Wafanyabiashara wa magari wanalalamikia LATRA na TRA Kwa uwepo wa ukwamishshaji na kutengeneza mambo Magumu ili kufungua mwanya wa rushwa, Mifumo kutoingiliana Nikiwa na maana kwamba Unapoanza kufanya jambo flani ujue Jambo unalofanya Ukitoka Labda Brella unaenda TRA , Then JIJI, Then LATRA Umemaliza. Lakini Unatoka Brella fresh kabisa, unakuja TRA fresh Wakati mwingine, Ukifika LATRA kazi inaanza Ooh! Hii Haifai wanakugomea
Hii Sheria sijui Hadi tupeleke Kwa Waziri
Mtasumbuana hapo Sana
Swali langu: Ni Kwanini kunakuwa kama kuna mnyukano wa Taasisi za Serikali na wajasiriamali (Private sector)?

Wakati mwingine Unaona wale watendaji wanakuwa kama lengo lao Ni kukwamisha Biashara na kuua mitaji ya watu?

Kuna Wakati unaona wivu wa wasiwasi
Wa watendaji kutaka kukukwamisha?

Hii nchi ina walipakodi wengi sana Lakini
Serikali yenyewe Inatengeneza vitisho
Na kuwatenngenezea mianya ya Rushwa
Watendaji wake

Kuna kauli ya Rostam Aziz ambayo ni ya kweli kabisa. Ukiwekeza pesa zako nyingi Tanzania inatakiwa upimwe akili
Kuna watu maalumu wako Kwa ajili ya kukukwamisha. Wamejaa kote Serikalini
Kama Hakuna wanachonufaika nacho Kwenye Mradi au Biashara unayoianzisha
Mtasumbuana sana.

Maoni yangu
Fungueni milango watu wafanye Biashara, Bahati nzuri Rais tulie nae sasa anaufahamu mkubwa juu ya Biashara
Anajua Dunia iko ilivyo sababu ya Sector Binafsi.
Hakuna mfanyakazi wa Serikali aliwahi kuleta maendeleo Duniani.
Serikali isimamie Itoe miongozo wezeshi
Sio kutengeneza Beria
Tukifanya yote haya Tuna uwezo wa kuibadilisha Rushwa jina Tukaiita "Asante"
Kwa sababu imetolewa Kwa moyo wa kupenda.
 
Mtoa mada upo sahihi kabisa, Watumishi wa serikali tunakwamisha baadhi ya mambo ili tutatue na kupewa asante au kupewa asante ili kutekeleza majukumu yetu.
 
Amani iwe nanyi nyote.
Kuna jambo moja naliona na si kuona tu
Kila mwenye Biashara analalamika
Wafanyabiashara wa magari wanalalamikia LATRA na TRA Kwa uwepo wa ukwamishshaji na kutengeneza mambo Magumu ili kufungua mwanya wa rushwa, Mifumo kutoingiliana Nikiwa na maana kwamba Unapoanza kufanya jambo flani ujue Jambo unalofanya Ukitoka Labda Brella unaenda TRA , Then JIJI, Then LATRA Umemaliza. Lakini Unatoka Brella fresh kabisa, unakuja TRA fresh Wakati mwingine, Ukifika LATRA kazi inaanza Ooh! Hii Haifai wanakugomea
Hii Sheria sijui Hadi tupeleke Kwa Waziri
Mtasumbuana hapo Sana
Swali langu: Ni Kwanini kunakuwa kama kuna mnyukano wa Taasisi za Serikali na wajasiriamali (Private sector)?

Wakati mwingine Unaona wale watendaji wanakuwa kama lengo lao Ni kukwamisha Biashara na kuua mitaji ya watu?

Kuna Wakati unaona wivu wa wasiwasi
Wa watendaji kutaka kukukwamisha?

Hii nchi ina walipakodi wengi sana Lakini
Serikali yenyewe Inatengeneza vitisho
Na kuwatenngenezea mianya ya Rushwa
Watendaji wake

Kuna kauli ya Rostam Aziz ambayo ni ya kweli kabisa. Ukiwekeza pesa zako nyingi Tanzania inatakiwa upimwe akili
Kuna watu maalumu wako Kwa ajili ya kukukwamisha. Wamejaa kote Serikalini
Kama Hakuna wanachonufaika nacho Kwenye Mradi au Biashara unayoianzisha
Mtasumbuana sana.

Maoni yangu
Fungueni milango watu wafanye Biashara, Bahati nzuri Rais tulie nae sasa anaufahamu mkubwa juu ya Biashara
Anajua Dunia iko ilivyo sababu ya Sector Binafsi.
Hakuna mfanyakazi wa Serikali aliwahi kuleta maendeleo Duniani.
Serikali isimamie Itoe miongozo wezeshi
Sio kutengeneza Beria
Tukifanya yote haya Tuna uwezo wa kuibadilisha Rushwa jina Tukaiita "Asante"
Kwa sababu imetolewa Kwa moyo wa kupenda.

Ni mambo yanayo ogopesha sana kuanzisha biashara, biashara ndio inaanza ni changa tu lakini watu kibao wanakuja kutaka rushwa yaani kama vile wanashindana nani amekuwahi na kila mtu anakuja kwa mbinu zake hawashirikiani kabisa

Kwa kifupi hii nchi bila kuishi vizuri na hao viongozi wa serekali hutoboi yaani ndio kama unataka kuanzisha kiwanda ni shida tupu wanakuchulia kama vile tyr una mafanikio wakati ndio naanza tu
Watu wananikera sana kwakweli
 
Back
Top Bottom