Wanasahau kuwa kuua ni dhambi, tafadhari zingatia ahadi KUMI za mungu usiue, cooooocolo nyie
Aisee enzi niko mdogo nilimwagia kweli konokono chumvi akayeyuka in 3 mins. Kwa tuliokimbia science hatujui why
Kwan tuliambiwa tusiue wanyama ama binadam wenzetuWanasahau kuwa kuua ni dhambi, tafadhari zingatia ahadi KUMI za mungu usiue, cooooocolo nyie
Kwa kweli... Mi nilikua napenda kweli hako kamchezo nishamwagia zaidi hata ya watanoAisee enzi niko mdogo nilimwagia kweli konokono chumvi akayeyuka in 3 mins. Kwa tuliokimbia science hatujui why
Hongera.. ina miezi mingapi?Itabidi nitembee nayo, hakuna mdudu simpendi km konokono. Anasababisha nisikie kichefuchefu nkimuona[emoji40] [emoji40] [emoji40]
Natamani kujaribu lakini nahofia kupata dhambiNiliwahi kufanya hivyo roho ikaniuma nikammwagia maji harakaharaka.
Sipendi kabisa kuuwa viumbe wasio na hatia.
Kama konokono ana kosa gani jamani? Haumi,haaribu chochote.
Msijaribu,ni dhambi kubwa.
Natamani kujaribu lakini nahofia kupata dhambi
Mbona unapotembea iwe kwa miguu au kwa gari hauinami chini ili kuhakikisha haukanyagi wadudu wadogo watambaao ardhini (sisimizi, siafu, mchwa, etc ) ili usiwaue? Uchizi sio lazima uokote makopo.Wanasahau kuwa kuua ni dhambi, tafadhari zingatia ahadi KUMI za mungu usiue, cooooocolo nyie
Inabidi tukupeleke ICC ukajibu mashtaka!Kwa kweli... Mi nilikua napenda kweli hako kamchezo nishamwagia zaidi hata ya watano
___lysisKwanini Konokono (Snail) hasa wale ambao hawana gamba kwa juu wakimwagiwa chumvi wanayeyuka?
Ni Reaction gani hii?