Kwanini kila kesi Tundu Lissu anashinda?

Kwanini kila kesi Tundu Lissu anashinda?

jibu ni kwamba haongei kwa kukurupuka..
anaongea kwa facts na kwa misingi ya kisheria..
IQ yake kubwa !!
akikwambia wewe ni UCHWARA anakupa na facts, nenda mahakamani sasa ukapinge kwa hoja kwamba wewe si uchwara kama IQ inaruhusu !
Lissu kwa IQ za hawa jamaa, labda watumie tu nguvu kumshinda, as usual !
 
Serikali inatumia saa 6 kumkamata na kumsafirisha Tundulissu from Singida to Dar. Polisi wanatumia saa 5 kujadiliana na kurushiana mpira nani amuhoji. Anayeteuliwa anatumia saa 6 kuhoji huku akitamani Lissu amdeseshe maswali. Serikali na Polisi wanatumia saa 3 kumfikisha mahakamani. Wanasheria wa Lissu wanatumia dakika 60 kuipangua kesi. "Mahakama inatoa dhamana ya Shs laki moja" (nawaza tu) na Lissu anarudi mtaani kupambana na "dikteta uchwara". Dikteta uchwara ananuna hadi anatamani kupasuka maana hajaribiwagi na sasa Tundulisu "anamjaribuga". @Hii ndiyo Tanzania ya Viwanda.

Mtatiro J
 
Safari hii kama mnadhani kuwa Lissu atatoboa hakika mtalala na njaa. Huwezi kuendelea kumtukana Rais then ukabaki salama. Soon atarejeshwa mirembe
 
Mkiishiwa hamkosi lakusema
Hata pumba kwenu hoja
Hii ndio News mmeona!!!
Tafuteni habari zinazo msaidia mtanzania
Hata ingelikuwa ni Dk 15 kusmafirisha Mropokoji kutoka Kigoma to Dar
Yote sawa tu
 
Safari hii kama mnadhani kuwa Lissu atatoboa hakika mtalala na njaa. Huwezi kuendelea kumtukana Rais then ukabaki salama. Soon atarejeshwa mirembe
Kwa vifungu gani vya sheria au almradi tu muone yuko ndani ndipo mfurahi?
 
Safari hii kama mnadhani kuwa Lissu atatoboa hakika mtalala na njaa. Huwezi kuendelea kumtukana Rais then ukabaki salama. Soon atarejeshwa mirembe
Wewe piga kelele hapo Geti la jengo jeupe upate kula yako! Hujui lolote zaidi ya kuchumia tumbo na huenda hata shule huna nyie ni type za kina ole na bulembo mnawaza kwa kutumia masaburi
 
Mkiishiwa hamkosi lakusema
Hata pumba kwenu hoja
Hii ndio News mmeona!!!
Tafuteni habari zinazo msaidia mtanzania
Hata ingelikuwa ni Dk 15 kusmafirisha Mropokoji kutoka Kigoma to Dar
Yote sawa tu
Ukandamizaji wa Demokrasia ndio habari?
 
Safari hii kama mnadhani kuwa Lissu atatoboa hakika mtalala na njaa. Huwezi kuendelea kumtukana Rais then ukabaki salama. Soon atarejeshwa mirembe
Wewe ni Kama nani?unasema maneno hayo
Mimi najuaa wewe ni mfagia vy.... Vya hapo lumumba!
 
Back
Top Bottom