Kwanini Kikwete hakusimama na Lowassa?

Nadhani pointi si kwamba alimuacha ajiuzulu,bali hakufanya anything zaidi ya kusema kuwa ni ajali ya kisiasa...Yuo see,wewe unamtetea JK dhidi ya Lowasa kuwa alimwacha ajiuzulu kwasababu Lowasa ni mchafu na fisadi,je is that equevalent to "Ajali ya kisiasa?" Kuna vijiswali ambavyo havikuulizwa kutokana na issue yenyewe kuwa kubwa na unique especially kujiuzulu kwa Waziri Mkuu,lakini pointi ya MKJJ pia ipo,alichotakiwa kufanya rais ni nini? Either alitakiwa ku mback waziri mkuu kwasababu ni ajali tu ya kisiasa na si ufisadi,ama alitakiwa kumfukuza kazi na si kuwa neutral cause ina compromise utafsiri wa sheria,taratibu na kanuni zetu za kiutawala.

we can split hairs if you want.

Lakini bottom line ni jibu la swali "Kwa nini Kikwete hakusimama na Lowassa".Sote tunajua siasa zetu zilivyo na longolongo nyingi, Kikwete alimtosa Lowassa lakini hakutaka kuonekana brutal, akataka kuonekana graceful, ndiyo hayo mambo ya kujishaua kwa kusema "ajali ya kisiasa" siku hizi hata kwenye ajali watu wanatafuta sababu ya ajali, yeye alitaka kutuambia ajali ni kitu hakiepukiki? Amuulize Ralph Nader na kampeni yake ya seat belts. Kwa hiyo hiyo kauli ya "ajali ya kisiasa" nayo ilikuwa reckless, ni vile Tanzania tu hamna press ya kufuatilia kauli za viongozi.

Mimi ninachosema ni kuwa kumsakama JK kwa sababu hajamtetea Lowassa si sawa, kwa sababu kumtetea Lowassa katika hali ile kungekuwa ni utovu wa uadilifu kwa kiapo cha Kikwete kulinda maslahi ya Jamhuri, Mwanakiji ameelewa vizuri hilo (I doubt kwamba alikuwa haelewi to begin with, hence my outrage)
 
we can split hairs if you want.

Lakini bottom line ni jibu la swali "Kwa nini Kikwete hakusimama na Lowassa".Sote tunajua siasa zetu zilivyo na longolongo nyingi, Kikwete alimtosa Lowassa lakini hakutaka kuonekana brutal, akataka kuonekana graceful, ndiyo hayo mambo ya kujishaua kwa kusema "ajali ya kisiasa" siku hizi hata kwenye ajali watu wanatafuta sababu ya ajali, yeye alitaka kutuambia ajali ni kitu hakiepukiki? Amuulize Ralph Nader na kampeni yake ya seat belts. Kwa hiyo hiyo kauli ya "ajali ya kisiasa" nayo ilikuwa reckless, ni vile Tanzania tu hamna press ya kufuatilia kauli za viongozi.

Mimi ninachosema ni kuwa kumsakama JK kwa sababu hajamtetea Lowassa si sawa, kwa sababu kumtetea Lowassa katika hali ile kungekuwa ni utovu wa uadilifu kwa kiapo cha Kikwete kulinda maslahi ya Jamhuri, Mwanakiji ameelewa vizuri hilo (I doubt kwamba alikuwa haelewi to begin with, hence my outrage)

Basi Kiranga yameisha...

Sasa hebu i break it down for us....Freud angemwelezeaje mtu kama Mwanakijiji?
 
Basi Kiranga yameisha...

Sasa hebu i break it down for us....Freud angemwelezeaje mtu kama Mwanakijiji?

Fred? Fred Lowassa? Nasikia anataka kugombea ubunge, au redio mbao?

Watu wana Carl Jung weye bado uko na Freud?
 
mzee zaidi ya maneno aliyotumia.. itabidi nitafute psychiatrist!

You know what...it may not be a bad idea to go see one....mtu unaweza ukawa (mtu yeyote) umeanza kudata bila hata kujijua...lol....halafu out of nowhere unaanza kuokota makopo na watu wanaanza kudai umerogwa kumbe mwenzao umedata na kila aina ya dalili zilikuwepo lakini ulizipuuzia!!
 
You know what...it may not be a bad idea to go see one....mtu unaweza ukawa (mtu yeyote) umeanza kudata bila hata kujijua...lol....halafu out of nowhere unaanza kuokota makopo na watu wanaanza kudai umerogwa kumbe mwenzao umedata na kila aina ya dalili zilikuwepo lakini ulizipuuzia!!

You know what.. you might be very right.... I need to make an appointment maana dalili hizi ni mbaya.
 
Fred? Fred Lowassa? Nasikia anataka kugombea ubunge, au redio mbao?

Watu wana Carl Jung weye bado uko na Freud?

Du Kiranga wewe ni kiboko,haya mjadala uendelee tu ila Pundit akiiona hiyo ya Freud lazima aje hapa.
 
Fred? Fred Lowassa? Nasikia anataka kugombea ubunge, au redio mbao?

Watu wana Carl Jung weye bado uko na Freud?

Oh yeah..huyo si ndo yule mchizi wa Analytical Psychology....kwani mi nayaweza haya mambo basi....nilidhani Sigmund ndiye guru mwenyewe....na wengine wote wanasimama kwenye mabega yake...

I'm sure Freud na Jung would have had a field day with me...
 
Oh yeah..huyo si ndo yule mchizi wa Analytical Psychology....kwani mi nayaweza haya mambo....nilidhani Sigmund ndiye guru mwenyewe....na wengine wote wanasimama kwenye mabega yake...

Waseminari unawapa Carl Jung, awa massage ego zao.

Not that we don't have, have, neither have nor don't have or have and don't have at the same time, in here.

Useminari, like fire, is a blessing and a curse.
 
Last edited:
1.
Mzee Mwanakijiji;
Nadhani uko sahihi; lakini Kikwete hakujua wala kamati yao haikujua Lowassa anajiuzulu siku ile. Hili nina uhakika nao.

- Kikao cha bunge kulikutana kujadili ripoti ambayo ilikuwa inamgusa Waziri Mkuu, rais akawasili Dodoma siku hiyo hiyo kwa ziara ambayo haikupangwa, alipowasili uwanja wa ndege, a sitting waziri mkuu hakuenda kumpokea kama protokali inavyotaka, unasema una uhakika rais hakujua kuwa Waziri Mkuu wake angejiuzulu?

2.
1. Bunge lina uwezo wa kumpigia kura ya kutokuwa na imani waziri mkuu

2. na kumlazimisha kuondoka,

3. lakini anapoamua kujiuzulu Bunge halina usemi hadi wasikie majibu ya Rais.

- Bunge linaweza kumlazimisha kuondoka, likifanya hivyo rais anafanya nini?

3.
Hapana kwa kutokusimama na Waziri wake Mkuu au kushauriana naye kabla hajaleta hoja yake Bungeni, Rais wetu alionesha udhaifu mkubwa wa uongozi na kusababishia Taifa usumbufu mkubwa usio wa lazima.

- Waziri Mkuu kujiuzulu na rais wake hajui in advance, labda hii ilikuwa ni mara ya kwanza katika historia ya siasa duniani. Waziri Mkuu Mheshimiwa Lowassa, alilazimishwa kujiuzulu na bunge na sio rais, waheshimiwa Idd Simba, Mbilinyi, na Ngasongwa wote walilazimishwa kujiuzulu na bunge, rais Mkapa alijaribu kila njia kuwaokoa lakini alikwama kwa bunge.

Rais wetu hawezi kumuokoa kiongozi yoyote aliyekataliwa na bunge, historia haipo kabisa, infact Mbilinyi alipojiuzulu rais Mkapa alisema wazi kwam,ba amepokea hati yake kwa moyo mzito sana kwa sababu hakutaka, lakini asingeweza kupingana na bunge.

Ahsante.

William.
 
Hapa swali ni je, Raisi anafungwa mikono asiweze kumwondoa Waziri Mkuu bila baraka za Bunge ?

- Kabla ya kumuondoa lazima kuwe na mawasiliano na bunge, ama sivyo bunge linaweza kukataa kumpitisha atakayempendekeza next kuwa waziri mkuu, it almost happened under Mwinyi.

Una hakika na unayosema ama ndiyo yale yale CCM knows best what's good for the country.
- CCM kama vyama vingine vya siasa wameuza sera zao kwa wananchi, na tukawachagua kwa sababu ya kuamini kuwa they know best tena kwa 47 years.

Yapi hayo maneno ya mitaani - EPA, Richmond, Meremeta, Tangold, Kiwira, Dowans, IPTL, List of Shame, Twin Towers, Kagoda ?
- Kinachotakiwa ni ushahidi wa kisheria, ambao kwenye ishu nyingi sana una-miss, kwenye Richmond ushahidi ulikuwa wazi lakini hata hivyo waziri mkuu hakupewa nafasi ya kujitetea kwa hiyo sheria ilipunguka, sio rahisi ku-convet maneno ya siasa za mtaani ili yawe legal facts.

Ndiyo hawezi kwa sababu hana ubavu wala ujasiri wa ku'act'. Naamini Lowassa angekataa kujiuzulu, ingekuwa kasheshe.
- Mheshimiwa Lowassa angejua kuwa akijuzulu hatafanywa kitu, si angekuwepo kwenye power mpaka leo, au?

Kazi kweli kweli !! Kwa mwendo huu mkate wa Salva uko hatarini.
- Hizi name calling ni dalili za kutokuwa na hoja na hazinizuii kuja hapa JF kuchangia ushauri wa kuliendeleza taifa langu.

Ahsante Sana.


William.
 
Hayo ni maswali mawili tofauti.

Picha ninayoipata ni kwamba Mwanakijiji anapenda kuandika tu, mradi apige soga na kucheza twist. Kwa makala kama hii anajionyesha kutokuwa makini.

Kwa sababu Lowassa alivyokuwa Waziri Mkuu alimsema kwa mengi tu, na kulikataa hili nako ni kucheza twist.

Sasa Lowassa kajiamulia kujiuzulu, ooh, Kwa nini "Kikwete hakusimama na Lowassa?". Mradi chochote kitakachotokea Mwanakijiji anataka kuandika tu apige soga, bila kanuni wala muongozo.

Ni kama wale watu ambao ukivaa vibaya wanakucheka hujui kuvaa, ukivaa vizuri wanakusema unaringa, ili mradi kila utakachofanya hawakosi cha kusema kwa sababu kusema ndiyo raha yao.

Kwamba Kikwete alikuwa hana budi kumuacha Waziri Mkuu aliyegubikwa na ukungu wa rushwa ama halioni, au halimfai katika kuchonga maneno yake. Kama halioni natia mashaka kuhusu uerevu wake, kama analifumbia macho kwa sababu halimfai katika kazi yake ya kufinyanga maneno namuona hana uadilifu kwa malengo makubwa ya kimapinduzi kama kutokomeza ufisadi na kuleta maendeleo halisi Tanzania.

Mwanakijiji anachonga sana, mpaka anakosa dira. Kinachonisikitisha sana sana ni kuwa, akiendelea namna hii hata pale anapoongea ya msingi (na sipingi, huwa anaongea ya msingi) watu watakuwa na shaka kama kweli anamaanisha anachosema au anawashwa kuandika tu.

In defense of Kikwete, Kikwete hakula kiapo kuyalinda maslahi ya Lowassa, bali ya Tanzania.Kwa hiyo kama Lowassa alishindwa kuyalinda maslahi ya Tanzania kwa kuhatarisha uchumi na kunuka rushwa, Kiwete alishurutika kumwachia aachie ngazi. Mwanakijiji kama mtu unayeongelea mengi kwa niaba ya wanyonge ukijifanya hulioni hili ili mradi upate kuandika makala zako zitakazolenga kuangalia urafiki wa kikwete kwa Lowassa kama muhimu zaidi ya wajibu wa Kikwete kwa Jamhuri mimi nitakuona traitor.

Kama JF kuna slow day, au kama una "writers block" anaweza kujumuika na BRAZAMENI karudi kule, au kuandika mashair/ hadithi zake, lakini siyo kutoa makala iliyojaa inconsistencies na some of his expressed positions.

That is unless he thinks consistency is for us mere mortals, and he is above it.

- Very strong na independent thinking ambayo ni nadra sana kuipata hapa JF, na ni right to the point.


William.

 
1.

- Kikao cha bunge kulikutana kujadili ripoti ambayo ilikuwa inamgusa Waziri Mkuu, rais akawasili Dodoma siku hiyo hiyo kwa ziara ambayo haikupangwa, alipowasili uwanja wa ndege, a sitting waziri mkuu hakuenda kumpokea kama protokali inavyotaka, unasema una uhakika rais hakujua kuwa Waziri Mkuu wake angejiuzulu?

2.

- Bunge linaweza kumlazimisha kuondoka, likifanya hivyo rais anafanya nini?

3.

- Waziri Mkuu kujiuzulu na rais wake hajui in advance, labda hii ilikuwa ni mara ya kwanza katika historia ya siasa duniani. Waziri Mkuu Mheshimiwa Lowassa, alilazimishwa kujiuzulu na bunge na sio rais, waheshimiwa Idd Simba, Mbilinyi, na Ngasongwa wote walilazimishwa kujiuzulu na bunge, rais Mkapa alijaribu kila njia kuwaokoa lakini alikwama kwa bunge.

Rais wetu hawezi kumuokoa kiongozi yoyote aliyekataliwa na bunge, historia haipo kabisa, infact Mbilinyi alipojiuzulu rais Mkapa alisema wazi kwam,ba amepokea hati yake kwa moyo mzito sana kwa sababu hakutaka, lakini asingeweza kupingana na bunge.

Ahsante.

William.

That make sense kuwa kutofuatwa kwa protokali means kwamba alishaupata uamuzi/barua ya waziri mkuu kujiuzulu.
 
Mzee Mwanakijiji;

lakini Kikwete hakujua wala kamati yao haikujua Lowassa anajiuzulu siku ile. Hili nina uhakika nao.

Kikao cha bunge kulikutana kujadili ripoti ambayo ilikuwa inamgusa Waziri Mkuu, rais akawasili Dodoma siku hiyo hiyo kwa ziara ambayo haikupangwa, alipowasili uwanja wa ndege, a sitting waziri mkuu hakuenda kumpokea kama protokali inavyotaka, unasema una uhakika rais hakujua kuwa Waziri Mkuu wake angejiuzulu?

W.J. Malecela,

Kama nilivyosema, hoja ya mleta hoja ina mushkeli. Hana hakika na anachokisema, anabahatisha na wakati mwingine inakuwa kama kubuni buni tu. Lowassa mwenyewe alionyesha bungeni kwamba wabunge sio wa kwanza kujua kwamba anajiuzulu. Alisema kuwa ametoka kumwomba Kikwete ajiuzulu. Huyu Mwanakijiji hapa anazuga na maneno marefu akitengeneza ishu kwa vile Lowassa alisema "anaachia ngazi" badala ya najiuzulu. Hiki ni kihoja cha mleta hoja.

Japo ni vizuri umesisitiza hilo, kama ulivyokubaliana nami mwanzo, nilitaka kukwambia kwamba ukitumia nukuu za mchangiaji ni vema kuweka maneno yake kama yalivyo bila kuongeza chochote. Kabla ya kumpinga na kumkosoa unaemjibu hapo juu umeweka nukuu yake halafu ukaongeza jina Mwanakijiji ndani, ukaficha ficha jina lake kwenye nukuu yake mwenyewe kana kwamba ni maneno ya mwingine akimwandikia Mwanakijiji. Hapana, huwa hatuoneani aibu hapa ndugu W.J. Malecela.

Kuna msemo unatumika sana hapa wa mwenzetu anaependa kusema kuwa tunapo jadili mambo yenye maslahi ya kitaifa ni vizuri tuweze "kumkoma nyani giladi." Maana yake moja, utanisamehe kama ni msemo familiar kwako, maana yake mojawapo ni kwamba hatuoneani aibu hapa. Akikosea mtu usimuonee soni kaka. Mwanakijiji alikosea kusema ana uhakika Kikwete hakujua.

Kikwete alijua, alikuwa wa kwanza kujua, kwamba Lowassa atajiuzulu siku ile.

Edward Lowassa: Mheshimiwa Spika, nimetafakari sana kwa niaba ya chama changu, kwa niaba ya Serikali yangu nimeamua kumwandikia Rais barua ya kumwomba niachie ngazi.
 
W.J. Malecela,

Kama nilivyosema, hoja ya mleta hoja ina mushkeli. Hana hakika na anachokisema, anabahatisha na wakati mwingine inakuwa kama kubuni buni tu. Lowassa mwenyewe alionyesha bungeni kwamba wabunge sio wa kwanza kujua kwamba anajiuzulu. Alisema kuwa ametoka kumwomba Kikwete ajiuzulu. Huyu Mwanakijiji hapa anazuga na maneno marefu akitengeneza ishu kwa vile Lowassa alisema "anaachia ngazi" badala ya najiuzulu. Hiki ni kihoja cha mleta hoja.

Japo ni vizuri umesisitiza hilo, kama ulivyokubaliana nami mwanzo, nilitaka kukwambia kwamba ukitumia nukuu za mchangiaji ni vema kuweka maneno yake kama yalivyo bila kuongeza chochote. Kabla ya kumpinga na kumkosoa unaemjibu hapo juu umeweka nukuu yake halafu ukaongeza jina Mwanakijiji ndani, ukaficha ficha jina lake kwenye nukuu yake mwenyewe kana kwamba ni maneno ya mwingine akimwandikia Mwanakijiji. Hapana, huwa hatuoneani aibu hapa ndugu W.J. Malecela.

Kuna msemo unatumika sana hapa wa mwenzetu anaependa kusema kuwa tunapo jadili mambo yenye maslahi ya kitaifa ni vizuri tuweze "kumkoma nyani giladi." Maana yake moja, utanisamehe kama ni msemo familiar kwako, maana yake mojawapo ni kwamba hatuoneani aibu hapa. Akikosea mtu usimuonee soni kaka. Mwanakijiji alikosea kusema ana uhakika Kikwete hakujua.

Kikwete alijua, alikuwa wa kwanza kujua, kwamba Lowassa atajiuzulu siku ile.

Edward Lowassa: Mheshimiwa Spika, nimetafakari sana kwa niaba ya chama changu, kwa niaba ya Serikali yangu nimeamua kumwandikia Rais barua ya kumwomba niachie ngazi.

- Ahsante sana ndugu mwananchi mwenzangu, ninaomba kuweka wazi kwamba nina tatizo kubwa sana ku-mention majina ya bandia na ni kwa sababu nisizoweza kuzizuia na ninaomba nisamehewe, lakini sina tatizo kuwa-mention by names wananchi kama Mkandara, Kitila mkumbo, DK. Slaa, Augustine Moshi, na wengine wote wanaoingia kwa majina yao ya kweli, kwenye hili ndugu naomba unisamehe.

- Otherwise, hapa juu kwenye hoja yako niko na wewe tena kwa 100%, isipokuwa naomba kukufahamisha wazi kwamba simuogopi mwananchi yoyote hapa na sitegemei kuogopwa na yeyote, lakini ninawaheshimu wananchi wote hapa JF, kinachonileta ni uchungu na taifa langu na ninaamini nitakuwepo hapa kwa muda mrefu sana.

Katika muda mfupi niliokaa hapa, nimegundua kwamba wewe ni mmoja wa wachangiaji makini sana hapa JF, na huchanganyi maneno na ni independent, I love that kwa sababu katika kulumbana tunaweza kulisaidia sana taifa hili letu changa, ahsante sana kwa ushauri wako, nimeusikia.



William.
 
Mwanakijiji!

Haya maneno yameshakwenda singida na kurudi – na kwa kiasi kikubwa hoja yako imeraruriwa. Lakini mimi bado na shauku na hoja yako, kuelewa msingi wako hasa ulikuwa ni nini!

Kwahiyo, najipa senerio usemavyo wewe ndivyo, kwamba a) EL na JK hawakuwa na mazungumzo kabla ya kujiuzulu EL b) tuhuma hazikuhakikiwa - kwahiyo Raisi alipaswa kumtetea – kwani ni kuliingiza taifa kumfukuza EL kwa sababu ya tuhuma tu.

Swali langu! Kama ndivyo JK hakumtetea EL katika kadamnasi, hoja yako ni nini? Tumfanye nini huyu JK?

Pili, unapinga kwamba hukumsema EL kwenye maandishi yako unachoepuka nini! Pili, unatwambia ingawa hukumsema EL ulikuwa unataka ajiuzulu! Vipi mjomba!
 
Mkjj, Kikwete alaumiwe kwa lipi!? Maana tumeshaambiwa na Comical Salva kwamba yeye hahusiki. Hivyo uzembe wote, ufisadi ndani ya Serikali na mashirika ya umma kama ATCL, TANESCO, Harbours n.k. Kikwete hahusiki hivyo tumtafute mwingine wa kumlaumu.

Ndiyo maana nimeshasema hapa jamvini kwa kuwa yeye hahusiki basi hastahili tena kurudishwa madarakani 2010 maana Watanzania tunataka kiongozi anayehusika na lolote lile liwe baya au zuri ndani ya Serikali na vyombo vingine vya umma.

Ok ndio maana hajishughurishi na kutatua mambo hayo. You are right, suruhisho ni kutokumrudisha 2010
 
- Again naona mkuu una authority sana hapa, maaana unatoa order tu, haya nimekusikia mkuu sisi wanyonge ni kufuata orders tu za wakuu kama wewe.

Ahsante Sana na ninaipokea amri yako kwa unyenyekevu mkubwa sana mkuu, yaani the bottomline wewe kata ishu tu hakuna cha nini hapa, haya nimesikia.

William.

Kata ishu Mkuu .........ila ukivurunda tu tutakukoma giladi mchana kweupe..........hatuwekezi kwa watu.........
 
Kata ishu Mkuu .........ila ukivurunda tu tutakukoma giladi mchana kweupe..........hatuwekezi kwa watu.........

- I like that kwamba hamuwekezi kwa watu hapa, now it makes a lot of sense hasa coming from you, maana unaonyesha ni mtu wa siku nyingi sana hapa.


Ndugu Mod,

Nimeona maelezo yako kwamba imefanyika kimakosa, ninataka kuamini kwamba ni kweli, naomba kujitoa huu mjadala ili uendelee usije fungwa, lakini nimeusikia ujumbe wako.

William.
 
Back
Top Bottom